Wednesday, 28 November 2007

KILA MUDA UNAPORUHUSU,NAPENDELEA KUTEMBELEA KIJI-LIBRARY CHANGU CHA DVDsCOLLECTION INAKUA,200+ DVDs SI HABA.KUSOMA NOVELS ZA SYDNEY SHELDON na JOHN GRISHAM NI MITHILI YA KUANGALIA DVDsPOLISHING LANGUAGE SKILLS AND EMPOWERING MYSELF SPIRITUALLY KAULIMBIU YA KUHAMASISHA ZOEZI LA KUPIMA UKIMWI KWA HIARI...

Sunday, 25 November 2007

MTANZANIA UGHAIBUNI-4Miongoni mwa matatizo yanayowakabili wageni na wahamiaji katika nchi mbalimbali ni suala la ubaguzi.Ubaguzi wa aina yoyote ni mbaya,uwe wa rangi,dini,jinsia au maumbile.Ubaguzi unaosumbua zaidi barani Ulaya na nchi nyingine za Magharibi ni ubaguzi wa rangi,na waathirika wakubwa ni sie wenye ngozi nyeusi.Na ubaguzi wa rangi dhidi ya watu weusi unavuka mipaka ya uenyeji wa huyo anayebaguliwa kwani hata Weusi ambao wamezaliwa katika...

Sunday, 18 November 2007

 CHEKI MAKALA YANGU YA  WIKI HII NDANI TOLEO LA WIKI HII LA GAZETI MAHIRI NA LINALOTAMBA HUKO NYUMBANI LA RAIA MWEMA =========================================================================================================================Soma makala nyingine MBILI za "KULIKONI...

KULIKONI UGHAIBUNI-85Asalam aleykum,Katika makala yangu moja huko nyuma niliwahi kuzungumzia jinsi tofauti katika misimamo ya kisiasa zinavyowagawanya Wamarekani.Nilielezea kwamba tofauti kati ya wenye mtizamo wa kihafidhina (“conservatives”) na wale wenye mtizamo wa kiliberali (“liberals”) zinavyowafanya baadhi ya Wamarekani waangaliane kama maadui.Nakumbuka siku moja nilimsikia mtangazaji maarufu wa runinga katika kituo cha Foxnews,Billy O’Reilly...

Soma makala nyingine mbili hapaAsalam aleykum,Moja ya mambo nayopendelea kufanya pindi muda unaporuhusu ni kuangalia runinga.Lakini naweza kusema kwa kujiamini kabisa kwamba mahaba yangu kwa runinga yamekuwa ni sawa na mithili ya kuingia darasani kwani ni nadra kwangu kupitisha siku nzima pasipo kujifunza kitu kipya kwenye runinga.Hiyo haimaanishi kwamba kila kipindi nachoangalia kina jambo jipya au la maana,bali najitahidi kuwa makini katika uchaguzi...

Thursday, 8 November 2007

Ukurasa wa mbele wa gazeti la RAIA MWEMAMakala kamili bonyeza hapa----------------------------------------------------------------------------------------------------------------SHUGHULI YA 50 CENT NDANI YA ABERDEENJana kulikuwa na burudani ya aina yake hapa Aberdeen.Rapa mahiri kutoka USA,50 Cent alifanya...

Thursday, 1 November 2007

Ama kweli ni rahisi kupanga sera na kutegemea ifanikiwe lakini ni habari nyingine kwa mpanga sera kuwa sehemu ya utekelezaji huo.Hilo limejihidhirisha katika taarifa kutoka nchini Marekani ambapo maafisa wa mambo ya nje wa nchi hiyo wamefahamishwa kwamba watakuwa wakipelekwa nchini Irak kama sehemu ya utekelezaji wa majukumu yao ya kazi.Pamoja na kukumbushwa kwamba wakati wanakubali ajira waliapa kufanya kazi mahala popote watakapopangiwa na mwajiri...

Categories

Unordered List

Sample Text

Blog Archive

Labels

Follow Us on FaceBook

Popular Posts

Recent Posts

Recent Comments

Recent Premium Themes

Your Links

Flickr

Powered by Blogger.

Blog Archive

Followers

Download

Your Links

Blogger Tricks

Popular Posts

Recent Posts

Text Widget