NILIPOSIKIA Abdulrahman Kinana ameteuliwa kuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) hisia zangu zilikwenda kwa Karl Rove, Mmarekani anayeweza kuelezwa kama gwiji la mikakati ya siasa (political strategist) katika duru za siasa za Marekani.Kwa uelewa wangu wa siasa za Marekani na za huko nyumbani,...
Thursday, 29 November 2012
Monday, 26 November 2012
15:46
Unknown
Global economy
No comments
The excitement that drove the discovery of "emerging markets" in the 1980s and the easy money that turbocharged growth during the booming 2000s are over. The most hyped countries -- Brazil, Russia, India, and China -- are all slowing sharply, taking the average growth rate in the developing world back...
Friday, 23 November 2012
22:00
Unknown
No comments
Vigogo katika Idara ya Kazi na Pensheni ya hapa Uingereza walikumbwa na taharuki baada ya hackers kubandika tangazo feki la kazi kwenye tovuti ya Idara hiyo kwa nafasi ya 'mtaalam wa kuangamiza watu wasiotakiwa na serikali' Government Elimination Specialist.Katika tangazo hilo (angalia picha hapo juu)...
Thursday, 22 November 2012
16:42
Unknown
RAIA MWEMA
1 comment
NIANZE makala haya na nukuu ya bandiko la Nape Nnauye, Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama cha Mapinduzi (CCM), kuhusu ushindi wa hivi karibuni wa Rais Barack Obama wa Marekani. Nape aliweka bandiko hilo kwenye mtandao wa Jamii Forums, Novemba 7, mwaka huu akisema:“Ushindi wa Obama dhidi ya Romney,...
Thursday, 15 November 2012
07:12
Unknown
DINI TANZANIA
No comments
Nianze makala hii kwa kujipongeza kutokana na ‘ubashiri wangu sahihi’ kuhusu Uchaguzi wa Rais wa Marekani. Kama mnakumbuka, katika makala ya kwanza kwa mwaka huu nilijaribu kubashiri mwenendo wa masuala mbalimbali kwa ‘mwaka mpya’ 2012, na moja ya ubashiri huo ulikuwa huu:“Kwa kuzingatia uchambuzi wa...
Sunday, 11 November 2012
00:43
Unknown
DINI TANZANIA, WAISLAM
No comments
KATIKA matoleo mawili yaliyopita ya jarida hili maridhawa, safu hii imekuwa ikijadili vurugu za kidini zilizojitokeza hivi karibuni nchini.Katika makala hii, nitaanza sehemu ya kwanza ya kuhitimisha mjadala huo (na sehemu ya pili ya hitimisho itakuwa katika toleo lijalo).Ni matarajio yangu kuwa mfululizo...
Friday, 9 November 2012
Saturday, 3 November 2012
Subscribe to:
Posts (Atom)