KULIKONI UGHAIBUNI-25Asalam aleykum,Leo tuzungumzie UKIMWI.Lakini kwa vile mie sio mtaalamu wa afya,sintoingia kwa undani kwenye sayansi ya ugonjwa huo hatari.Kuna usemi kwamba takriban kila mmoja wetu ni “mwathirika” wa Ukimwi.Naomba nieleweke hapo.Napozungumzia “kuathirika” namaanisha kuguswa kwa namna moja au nyingine.Ni nani kati yetu anayeweza kusema hajawahi kuguswa au kuumwa na kifo cha ndugu,rafiki au jamaa yake kutokana na ugonjwa huo?Waajiri...
Tuesday, 22 August 2006
14:12
Unknown
No comments
KULIKONI UGHAIBUNI-24Asalam aleykum,Hivi karibuni,kiongozi wa zamani na muasisi wa Chama cha Kisoshalisti cha Scotland (SSP),Tommy Sheridan,alishinda kesi ya madai aliyofungua dhidi ya gazeti la News of the World.Sheridan,shujaa na mwanaharakati wa haki za tabaka la makabwela,alitaka alipwe paundi za Kiingereza laki mbili baada ya gazeti hilo lililobobea katika kufichua skandali kwamba mwanasiasa huyo aliwahi kujihusisha na vitendo vya uzinzi nje...
14:11
Unknown
No comments
KULIKONI UGHAIBUNIAsalam aleykum wasomaji wapendwa wa safu hii na gazeti zima la KULIKONI.Natarajia mambo huko nyumbani yametulia.Hapa napo ni shwari.Kwa takriban mwezi na ushee sasa Naibu Waziri Mkuu wa hapa,bwana John Prescott amejikuta akiwa katika wakati mgumu sana kwenye maisha yake ya kisiasa.Lakini huyu bwana sijui ni lini amekuwa na wakati rahisi licha ya ulaji alionao katika serikali inayoongozwa na Tony Blair.Kuelezea yote yaliyomkumba...
14:10
Unknown
No comments
KULIKONI UGHAIBUNI:Asalam aleykum,Pengine kwa Kiswahili tunaweza kuzitafsiri kama Wilaya za Taa Nyekundu.Hapa zinaitwa Red Light Districts au kwa kifupi RLDs.Chanzo halisi cha neno hilo hakifahamiki vizuri huku wengine wakidai kuwa zamani hizo wafanyakazi wa reli walipokuwa wakienda kutembelea maeneo hayo walikuwa wakiacha zana zao za kazi nje,hususan taa nyekundu walizokuwa wakitumia kuruhusu treni kuondoka stesheni.Nadhani hadi hapa baadhi ya wasomaji...
14:08
Unknown
CUF, DAR ES SALAAM, IMANI, KIKWETE, TAIFA, TANZANIA, WAISLAM, WAKRISTO, WATANZANIA
No comments
KULIKONI UGHAIBUNI-21Asalam aleykum,Leo nina jambo muhimu sana kuhusiana na maslahi ya Taifa letu.Nawaomba wasomaji wapendwa tuwe pamoja kwa makini ili tusipoteane njiani na hatimaye kuleta tafsiri potofu ya ninachotaka kuzunguzia.Natanguliza rai-au niite tahadhari-kwa vile mada yangu ya leo ni nyeti,na ni kuhusu suala ambalo mara nyingi limekuwa likikwepwa na watu wengi.Lakini kabla sijaingia kwa undani,nielezee uzoefu wangu mimi mwenyewe katika...
14:06
Unknown
AFRIKA, MKAPA, PROFESA, SERIKALI, TAIFA, WATANZANIA
No comments
KULIKONI UGHAIBUNI:Asalam aleykum,Naanza makala yangu kwa kuelezea majonzi makubwa niliyonayo kufuatia kifo cha mwanataaluma maarufu huko nyumbani,Profesa Seith Chachage.Majonzi yangu yanachangiwa na ukweli kwamba mimi ni miongoni mwa wanafunzi wake wa zamani hapo Mlimani.Mungu ndiye mtoaji na yeye ndiye mchukuaji kama Maandiko Matakatifu yanavyosema,lakini pengo aliloliacha msomi huyu aliyebobea ni vigumu kuzibika.Nimepitia tovuti mbalimbali na...
KULIKONI UGHAIBUNI:Asalam aleykum,Kabla sijaenda kwenye mada yangu ya leo ngoja nielezee kichekesho kimoja nilichokisoma kwenye mtandao kuhusu maandalizi ya timu ya Moro United katika majukumu ya kitaifa yanayowakabili.Kiongozi mmoja wa timu hiyo alinukuliwa akisema kwamba timu hiyo imeamua kufuta safari ya kwenda nchini Ufaransa kwa vile wamekosa nafasi ya sehemu ya kufikia “kutokana na hoteli nyingi kujaa kipindi hiki cha summer…”Hiki ni kichekesho...
14:01
Unknown
BONGOFLEVA, NYUMBANI, TAIFA, UINGEREZA, UTAFITI
No comments
KULIKONI UGHAIBUNI:Asalam aleykum wasomaji wapendwa wa gazeti hili maridhawa.Leo nina mada nzito na nakuomba msomaji uifatilie kwa makini kwa manufaa ya Taifa letu.Labda kabla “sijaivaa” mada hiyo nitoe mfano mmoja wa hapa Uingereza.Miongoni mwa matatizo makubwa ya kijamii yanayoikabili nchi hii ni suala la matumizi ya madawa ya kulevya hususan miongoni mwa vijana.Watu wanabwia unga kama hawana akili nzuri.Kipindi hiki cha summer nacho kinasaidia...
KULIKONI UGHAIBUNI:Kombe la Dunia mwaka 2006.Wenyewe wanaiita shughuli hii “the biggest show on earth.” (yaani mashindano makubwa kabisa duniani).Inaweza kuwa kweli.Kombe la dunia linawaunganisha mamilioni kwa mamilioni ya watu katika takriban kila pembe ya sayari hii.Wapo wale wanaofuatilia timu zao za taifa zikitafuta nafasi katika vitabu vya historia ya soka,wengine tukiwamo Watanzania tunafuatilia michuano hiyo kwa vile wengi wetu tunapenda soka...
Subscribe to:
Posts (Atom)