Showing posts with label CHILD LABOUR. Show all posts
Showing posts with label CHILD LABOUR. Show all posts

Monday, 20 September 2010



Hii ni Kazi ama Unyanyasaji wa watoto..?

Kwakweli nimesikitika sana baada ya kuona hii video ya documentary ya Mtanzania aliewaiba watoto walemavu  na kuwapeleka nchini Kenya na kuwafanya omba omba, Anawapeleka asubuhi na mapema sa kumi na Moja na kuwasambaza maeneo mbali mbali na usiku anawapitia kuwachukua na baaae anakusanya mafao, kijana huyo wakitanzania nchini Kenya hana kazi ingine zaidi ya hiyo hapo,Je hii ni sawa na watanzania wenzangu tunalizungumziaje swala hili? maana ni zaidi ya unyanyasaji wa wa watoto.

Video husika ni hii hapa chini



Categories

Unordered List

Sample Text

Blog Archive

Labels

Follow Us on FaceBook

Popular Posts

Recent Posts

Recent Comments

Recent Premium Themes

Your Links

Flickr

Powered by Blogger.

Blog Archive

Followers

Download

Your Links

Blogger Tricks

Popular Posts

Recent Posts

Text Widget