Showing posts with label ILALA. Show all posts
Showing posts with label ILALA. Show all posts

Sunday, 21 August 2011




Bondia YOhana Robart wa kambi ya Ilala akioneshana ufundi wa kutupa masumbwi na mtoto, Zainabu MHamila 'IKOTA' wakati wa mazoezi yanayoendelea katika kambi hiyo juzi.(Picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com )

kondo

Kocha wa mchezo wa ngumi kondo Nassoro (kulia) akimwelekeza mtoto Zainabu Mhamila 'IKOTA' jinsi ya kutupa masumbwi wakati wa mazoezi ya kambi ya Ilala yanayoendelea katika ukumbi wa Amana CCM Dar es salaam.(Picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com )
--
Super D Boxing Coach
Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com www.burudan.blogspot.com
 Mob;+255787 406930
        +255774406938
        Po.Box. 15493
Dar es Salaam Tanzania

Friday, 17 April 2009


HIVI HAWA WAHINDI WAMETUROGA HADI KUFIKIA HATUA YA KUBADILISHA MAJINA YA MITAA YETU KWA MINAJILI TU YA KUKIDHI LADHA ZAO!HUYU ABUU JUMA,MEYA WA MANISPAA YA ILALA SI ALIAHIDI KUFANYIA KAZI TABIA HII CHAFU YA KUBADILISHA MITAA PASIPO KIBALI?FOR THAT MATTER,INAELEKEA CITY FATHERS WAMEAMUA "KUKUBALI MATOKEO" NA HATIMAYE KUWAACHA HAO WAHINDI WAJIBADILISHIE MAJINA YA MITAA KWA NAMNA WANAVYOTAKA!

NA KAMA DESTURI ILIVYO,YAYUMKINIKA KUAMINI KWAMBA "KUKUBALI MATOKEO" HUKO HAKUKUFANYIKA HIVI HIVI TU,KUNA FISADI "KADIKISHWA KITU" KURIDHIA UCHAFUZI WA HISTORIA.OLE WAO WANAOENDEKEZA TAMAA ZAO ZA FEDHA NA KUPUUZA URITHI WETU WA KIHISTORIA.IPO SIKU MAKABURI YAO YATABOMOLEWA KWA HASIRA YA VIZAZI VIJAVYO.WHY NOT?MTU YEYOTE MWENYE AKILI TIMAMU ANAPASWA KUKASIRISHWA NA UPUUZI WA NAMNA HII.

Categories

Unordered List

Sample Text

Blog Archive

Labels

Follow Us on FaceBook

Popular Posts

Recent Posts

Recent Comments

Recent Premium Themes

Your Links

Flickr

Powered by Blogger.

Blog Archive

Followers

Download

Your Links

Blogger Tricks

Popular Posts

Recent Posts

Text Widget