Friday, 11 February 2011

Habari zaidi baadaye

Thursday, 10 February 2011







BLOGU HII YA Kulikoni Ughaibuni INAPENDA KUWAFAHAMISHA KUWA INAHAMIA KATIKA ANWANI MPYA MTANDAONI.AWALI BLOGU HIYO IMEKUWA IKIPATIKANA KATIKA ANWANI http://chahali.blogspot.com/
 LAKINI SASA INAHAMIA KATIKA ANWANI MPYA YA http://www.blogger.com/goog_939388498
.
http://www.chahali.com

PAMOJA NA MABADILIKO HAYO,AMBAYO NI SEHEMU TU YA MABADILIKO MAKUBWA ZAIDI YA UBORESHAJI NA HATUA YA KUELEKEA KUWA TAASISI KAMILI YA HABARI NA UTAFITI,ANWANI YA AWALI ITAENDELEA KUWA HEWANI KWA MUDA WOTE WA ZOEZI HILI LA UHAMAJI (MIGRATION).SAMAHANI SANA KWA USUMBUFU WOWOTE UTAKAOJITOKEZA

ASANTENI NA KARIBUNI SANA http://www.chahali.com/








Mlolongo wa ushahidi kuwa Kikwete ni sehemu muhimu ya ustawi na mafanikio ya ujambazi wa Dowans,na uthibitisho kuwa nchi imemshinda.

www-freemedia-co-tz

www-mwananchi-co-tz

www-freemedia-co-tz (1)

www-mwananchi-co-tz (1)

www-freemedia-co-tz (2)

Www Uhurupublications Com

Wednesday, 9 February 2011



So CCM has turned 34!

It's almost certain that you'll end up in confusion,if not a severe headache,or to make matter even worse feeling nauseated when you take time to reflect  on where this exceedingly corrupt party came from.I remember back in the days when CCM used to be as important as one's religious faith.Of course,people were coerced into having a blind faith in the sole party by then but that does not diminish the fact that the party was to a larger extent serving the masses regardless of their bank balances.

But,any sensible discussion on how CCM transformed itself from a people's party to a clique of political thugs should not try to avoid the role of Baba wa Taifa in getting all of us to this unknown destination.I have great respect to Mwalimu but his failure,intentionally or short-sightedly,to realise that some of his closest allies were actually wolves in sheep skin.You don't have to be a political analyst to discover that the likes of Kingunge Ngombale Mwiru,who were like Nyerere's brothers,were preaching to the public about Ujamaa na Kujitegemea while they were secretly praying for Mwalimu to disappear so that they could tunr our country into shamba la bibi.And shmba la bibi we truly are now!

Some scholars have gone further to a point of claiming that Nyerere's decision to ng'atuka in 1985 was actually a vailed admission of his failure to turn Tanzania into a socialist state.They also contend that his decision to appoint Ali Hassan Mwinyi as a successor was a calculated move to obscure Nyerere's own failures.And that move seemed to have paid dividends as it is the Mwinyi-era,and not Nyerere's, that is often portrayed as a the starting point of Tanzania's journey to nowhere.

It could as well be argued that in choosing Mwinyi as his successor,Nyerere was continuing his tradition of appointments based on personal allegiance rather than being merit-driven.Let's be honest.What convinced him that Tanzania would have been in safe hands under Mwinyi's leadership,bearing in mind that the country's fragile and aid-dependent economy was in shambles?

Do I think  Nyerere's leadership  was as poor as his predecessors?Not really.The major issue I have with the way he ruled the country is his blind faith in some crooks who  surrounded him,fooling him and the masses that they had strong faith in Ujamaa na Kujitegemea while in fact the were worse than the Mob.

However,at least Nyerere seemed to be concerned about the welfare of the nation and the people he led.And although he retired without making a public apology for his failure in realising the Ujamaa na Kujitegemea dream,his commitment to Tanzanians of all walks of life was truly unsurpassed.

Fast forward two decades later,and we have a political party that not lacks strong leadership but also has willingly made itself a hostage to the worst kind of characters.When you have a weak party leader like Jakaya Kikwete,sitting in midst of crooks who bankrolled their dirty money between 1995 to 2005 to assure he becomes the 4th President of Tanzania,come what may,the Judiciary comprised of a substantially high number of appointees who hold their allegiance to Kikwete as a person,and a Legislative body full of people who bought their way into power by splashing illegally amassed funds,the result is no better than having a Mafia state.

To make matter even worse,the instruments for good governance and public service are also severely infected with a congregation of unscrupulous people whose only mission is to multiply their number of nyumba ndogos,mansions,fleets of luxury cars and deposits in their fat bank accounts.

And contrary to popular belief that age comes with wisdow,the older CCM gets the more corrupt and useless it becomes.And as every young and old sinner seems to realise that the ruling party offer a safe haven as long as one is ready to buy ukamanda wa vijana,CCM's coming birthdays will continue to bring painful memories to every mlalahoi while the fisadis laugh their way to the bank.



Due to the growing demand and popularity of the hit reality show "Growing Up African" there have been several inquiries pertaining to television access. Growing Up African has become a huge success in several countries including the United States and U.K through the internet especially on their youtube channel. In order to translate this success to the general public especially those in Tanzania, the cast have chosen to take a direct approach. In a statement released by the family, Johnson the oldest son will be traveling to Dar es salaam for the month of February. On this trip, he will meet with several executives from the entertainment and television realm in order to make the show available to the average person. At the current moment, internet based entertainment is only vastly avalaible to those overseas. The purpose of this trip is to select a host television network for the reality show so it can become available to a much wider audience throughout East Africa.

Please visit the youtube channel to view the new episodes and previews of the show from 2011.











For more information please send all questions or concerns to growingupafrican@gmail.com or sms to 845-518-5559.

Friday, 4 February 2011


Kuna jitihada zinazofanyika huko nchini Misri katika jitihada za kumaliza machafuko yaliyodumu kwa zaidi ya siku 10 sasa kushinikiza kung'oka madarakani kwa Rais Hosni Mubarak.Jitihada hizo zinafanywa na kundi linalojumisha "Kamati ya Watu wa Busara" (ni kama Wazee wa Busara lakini sio kama wale walioimbwa na kundi la Wachuja Nafaka ).Watu hawa wenye heshima zao katika taifa hilo wanajaribu kuepusha maafa zaidi ambapo inaelezwa kuwa hadi sasa zaidi ya watu 300 wameshauawa.Kwa mfano,miongoni mwa mambo waliyojaribu kuishauri Serikali ya Mubarak ni kuangalia uwezekano wa Rais huyu kubaki na cheo cha heshima (figure head) lakini majukumu ya kuendesha nchi yakabidhiwe kwa Makamu wa Rais.Kadhalika,walidai kuwa wanaweza kushawishi kundi la Muslim Brotherhood lisisimamishe mgombea iwapo Serikali ya Mubarak itakubali kuitisha uchaguzi.

Ukiangalia mwenendo wa mambo huko nyumbani,ni dhahiri nasi tunahitaji Wazee wa Busara wa kukutana na Rais Jakaya Kikwete,angalau kumwamsha katika lindi la usingizi unaomkabili na kumfahamisha kuwa taifa letu linaelekea kusikostahili.Tunaweza kujidanganya kuwa yanayotokea Misri hayawezi kutokea kwetu lakini ukweli ni kwamba mazingira yaliyopelekea mbinde huko Misri,Tunisia,na sasa Yemen na Sudan (kwa kiasi flani) pia yapo huko nyumbani.Umasikini wa kupindukia ambao unapuuzwa na watawala wanaozidi kujirundikia utajiri,sambamba na kupora raslimali za umma;ukosefu wa ajira;utawala wa kibabe (rejea mauaji ya raia wasio na hatia huko Arusha na Mbeya,sambamba na nguvu kubwa kupita kiasi zinazotumiwa na vyombo vya dola kudhibiti maandamano ya amani),to mention but a few.

Unfortunately,wazee aliotuachia Baba wa Taifa ndio dizaini ya akina Kingunge-watetezi wakubwa wa ufisadi.Kuna watu kama Rais Mstaafu Ali Hassan Mwinyi,Mawaziri Wakuu Wastaafu kama Warioba na Cleopa Msuya,na wanasiasa kama akina Joseph Butiku lakini hawa wote wanakwazwa na tatizo lilelile linaloikwamisha Tanzania yetu: kuweka maslahi ya kisiasa mbele ya maslahi ya taifa.Angalau Warioba amejaribu mara kadhaa kuzungumza "kwa niaba ya umma" lakini mafisadi wakaanza kumuundia zengwe.

Nalazimika kupigia mstari umuhimu wa kuwatumia Wazee wa Busara kumwamsha Kikwete kwa vile inaelekea Rais wetu anajifanya haelewi kinachoendelea kwenye maisha ya Watanzania wengi.Yoote aliyoahidi wakati wa kampeni zake za mwaka 2005,na kisha kuyarejea tena wakati za kampeni za mwaka jana yanaelekea kuwa yamesahaulika kama sio kupuuzwa.

Majuzi nilityumiwa comment na msomaji mmoja aliyenishutumu kwa kile alichoita "kuchochea vurugu" na kudai mie nahamasisha yanayotokea Misri na Tunisia yatokee Tanzania pia ilhali mie mwenyewe niko nje ya nchi.Mpuuzi huyu anajifanya haelewi kwamba kuwa nje ya nchi hakumaanishi Utanzania wangu unakuwa nusu.Afterall,nina ndugu,jamaa na marafiki wanaoteseka kutokana na hayo nayopigia kelele kila siku.

Na hata blogu hii ikikaa kimya,au wazalendo wa mtandao kama Jamii Forums nao wakinyamaza,ukweli unabaki kuwa siku moja Watanzania wanaweza kusema this is too much,liwalo na liwe.Mwanafalsafa Karl Marx aliwahi kutuasa kuwa masikini hana cha kupoteza (akiamua liwalo na liwe) except minyororo anayobebeshwa na watawala dhalimu.

Tuna uchaguzi mmoja tu: kubadilisha hali ya mambo kwa njia za amani ama sivyo yanayojiri mahala kwingineko yanaweza kutokea kwetu pia.Sio suala la kuombea au unabii wa maangamizi bali huo ni ukweli mchungu.Hakuna namna ya kumaliza ugonjwa pasipo tiba.

Na kwa Kikwete na jamaa zake,ni muhimu kujifunza katika yanayoendelea huko Tunisia,Misri,Jordan,Yemen na Sudan.Kuendelea kuwakumbatia mafisadi wanaokwangua uchumi wetu kila kukicha ni jambo lisilokubalika hata chembe.

TUSIPOZIBA UFA TUTAJENGA UKUTA

Thursday, 3 February 2011



Dear all our Valued, Fans we are pleased to introduce to you our New track named Jiachie by Victor Mrisho (Producer Kita) Rama Records enjoy the song as we are approaching to Valentine enjoy.


On Behalf of Umabe Arts Company
Fredy Njeje
Project and Design Manager.


Kwa pamoja Tunaendeleza Burudani

Categories

Unordered List

Sample Text

Blog Archive

Labels

Follow Us on FaceBook

Popular Posts

Recent Posts

Recent Comments

Recent Premium Themes

Your Links

Flickr

Powered by Blogger.

Blog Archive

Followers

Download

Your Links

Blogger Tricks

Popular Posts

Recent Posts

Text Widget