Saturday, 25 May 2013

1 a2e01
2 c75a8
3 b644b
4 30be2
5 d5da0
Soma mengine zaidi....

6 e33cf
7 b9438
8 67be7
9 95d8b
10 b2fff
11 ddaca
12 50426
13 d16ed
14 4c884
15 13d72

Friday, 24 May 2013


MKALI WA VODACOM:
Je, unajiamini kuwa na kitu kinachokufanya uwe mkali mtarajiwa? Vodacom inatafuta mtangazaji mpya wa kipindi cha TV kitakachoanza hivi karibuni. Soma namna ya kushiriki na unaweza kuwa mmoja ya watangazaji wa kipindi hiki.
Kazi ni kwako

Thursday, 23 May 2013










HEBU JIULIZE, LINI ULISHUHUDIA HALI KAMA HII IKITOKEA TANZANIA?

BADALA YA KUSAKA CHANZO, OUR DEAR LEADER DOKTA KIKWETE ANADAI "ATAKATA MAPEMBE" YA ANAYESABABISHA VURUGU. WELL, YEYE MWENYEWE NI PEMBE PIA KWANI UTAWALA WAKE UMEZIDI KUISUKUMA TANZANIA YETU KUELEKEA MAHALA KUSIKOFAA: UFISADI UMEKUWA KAMA SEHEMU YA MAISHA YA MTANZANIA, UDINI SIO TU UMEONGEZEKA BALI PIA UMEANZA KUWAFARAKANISHA WATANZANIA HUKU BAADHI YA WENZETU WAKIPOTEZA MAISHA YAO, UHUNI USIOELEZEKA MIONGONI MWA WATU WALIOCHAGULIWA NA KUPEWA DHAMANA YA KUWAKILISHA WATANZANIA (WABUNGE), MGAO WA UMEME USIOISHA LICHA YA AHADI KEDEKEDE KUTOKA KWA KIKWETE...MENGINE ONGEZEA MWENYEWE MSOMAJI.

NASEMA HIVI, IFIKE MAHALA KIKWETE AAMBIWE UKWELI KUWA KAMA KWELI ANA LENGO LA KUKATA PEMBE BASI AJIWEKE KANDO YEYE MWENYEWE KWANI YEYE NDIYE PEMBE KUBWA ZAIDI.

Tuesday, 21 May 2013

Click image for larger version.   Name: Prof Jay Ajiunga Na Chadema.jpg  Views: 0  Size: 47.5 KB  ID: 94612
 Profesa Jay akipokea kadi ya unachama wa Chadema kutoka kwa Mbunge wa Mbeya Mjini (Chadema) Mh. Joseph Mbilinyi (a.k.a Sugu)
Click image for larger version.   Name: Prof Jay Na Sugu Na Mnyika.jpg  Views: 0  Size: 40.8 KB  ID: 94613

Profesa Jay akiwa na Mh 'Sugu'  na Mbunge wa Ubungo (Chadema) Mh John Mnyika.

Ni Mtanzania gani kijana (na hata wazee wa kati) asiyemjua Profesa Jay, msanii mahiri wa Bongoflava ambaye jina lake halisi ni Joseph Haule (au Jay wa Mitulinga). Msanii huyo, pengine katika hali ambayo haikutarajiwa kabisa, leo amejiunga na chama cha upinzani cha Chadema.

Uamuzi wa Profesa Jay kujiunga na Chadema unaweza kuwa na manufaa makubwa sana kwa chama hicho hasa kwa vile mabadiliko ya kisiasa huko nyumbani yanategemea zaidi hamasa ya vijana.


Nitaandika zaidi baadaye kuhusu tukio hili muhimu kwa Chadema, muziki wa bongoflava na vijana kwa ujumla, lakini kwa sasa burudika na kibao hiki cha "Nikusaidiaje" cha Profesa Jay akimshirikisha Ferouz


DSC 0043 f478a
DSC 0044 efb36
DSC 0045 6ff67
DSC 0046 1edd5
DSC 0047 b993f

DSC 0048 77783
DSC 0049 06bdd
DSC 0050 95093
DSC 0051 e147b
DSC 0052 6559f
DSC 0053 ac5ac
RATE THIS ITEM

Friday, 17 May 2013


DSC 0261 1a54f
DSC 0262 5766d
DSC 0263 ef14a
DSC 0264 e160a

DSC 0265 784f3
DSC 0266 58f60
DSC 0267 c101d
DSC 0268 5e9e8
DSC 0269 f7c59
DSC 0270 80e8c
Chanzo: MJENGWA

Je wewe ni mwanasheria? Je wewe ni mtetezi wa haki za binadamu? Je katika nafasi uliyonayo-hata kama si mwanasheria au mtetezi wa haki za binadamu- unaweza kumsaidia mwananchi huyu asiye na hatia?

Tumekuwa wepesi wa kulaumu zaidi kuliko kutenda. Sote twatambua uonevu unaofanywa na baadhi ya watumishi wa vyombo vya dola hususan Jeshi la Polisi. Lakini kulaumu au kulaani pekee hakuwezi kumaliza tatizo husika, hususan katika nyakati ambazo kuna wenzetu wanateswa pasi hatia. Basi ombi langu kwako ni kutumia nafasi yako-iwe ni mtu maarufu, mfanyabiashara, mwanasiasa, nk-kumsaidia mwananchi huyu.Mie nimeanza kwa kuweka hadharani kilio chake.



Categories

Unordered List

Sample Text

Blog Archive

Labels

Follow Us on FaceBook

Popular Posts

Recent Posts

Recent Comments

Recent Premium Themes

Your Links

Flickr

Powered by Blogger.

Blog Archive

Followers

Download

Your Links

Blogger Tricks

Popular Posts

Recent Posts

Text Widget