Pages

Monday, 26 July 2010

Tom and Jenny in Tanzania (Comic Book)

Pichani juu  kitabu cha cha sanaa cha comic kinachoitwa TOM & JENNY IN TANZANIA  ambacho kilikuwa kinasubiriwa kwa muda mrefu, na sasa kitabu kimetoka.Unaweza kukipata jijini Dar es salaam na vilevile wachapishaji wanaweza kuwatumia wasomaji walio nje ya Dar es salaam na Tanzania kwa ujumla.
----------------------------------------------------------------------
Joe
Baseline Africa

No comments:

Post a Comment