Pages

Wednesday, 1 September 2010

JK Aingizwa Mkenge Mbeya,Apewa Kadi Feki za Chadema

Kama waliweza kuchakachua kadi zao wenyewe kwenye kura za maoni watashindwaje kufoji za Chadema?Na wameshamgeuza sehemu ya kufanyia mazoezi kuzuga kama anavyotabasamu hapo chini kwa kupewa "two hundred thousand USD za $300,000/="!!!!

2 comments:

  1. Hii ni kali. Tunasubiri undani wake.

    ReplyDelete
  2. chakarika.blogspot.com4 September 2010 at 05:19

    Utawala ovyo ovyo mambo na utendaji ovyo ovyo...Viongozi na uongozi shaghala bagala...Bora liende ndiyo mbiu ya CCM kwa vitendo kwa sasa...

    ReplyDelete