Pages

Friday, 6 April 2012

Msanii KANUMBA afariki Dunia

BREAKING NEWSSSSSSSSSSS: MUIGIZAJI STEVEN KANUMBA AFARIKI DUNIA

Taarifa zilizothibitishwa na baadhi ya wasanii wenzake wa filamu Steven Kanumba amefariki dunia usiku huu.

Kwa mujibu na hisani ya SHAFFIH DAUDA's BLOG

No comments:

Post a Comment