Pages

Thursday, 26 June 2014

Makamu wa Rais wa China ahutubia Kichina, wasikilizaji waambulia patupu

 
 
Ziara ya Makamu wa Rais wa China, Li Yuanchao, nchini Tanzania imeambatana na tatizo la lugha, ambapo kiongozi huyo amekuwa akihutubia hadhara mbalimbali kwa Kichina pasipo mtafsiri wa Kiswahili.


No comments:

Post a Comment