MTUMISHI WENU NAWATAKIA HERI NA BARAKA YA MWAKA MPYA 2008.BLOG HII ITAENDELEA KUWALETEA KILE MNACHOTARAJIA NIKITUMAINI NANYI MTAZIDISHA USHIRIKIANO WENU KWA KUITEMBELEA MARA KWA MARA,KUNIKOSOA NA KUTOA MICHANGO MBALIMBALI YA MAWAZO.PIA NITUMIE NAFASI HII KUWATAKIA AMANI JIRANI ZETU WA KEN...
Monday, 31 December 2007
Sunday, 30 December 2007

Hatimaye Mwai Kibaki ametangazwa mshindi katika uchaguzi mkuu nchini Kenya.Ni rahisi kuhisi Raila Odinga ameporwa ushindi kutokana na namna matokeo ya uchaguzi huo yalivyochukua muda mrefu kuliko ilivyopaswa.Wakati matokeo haya yanaweza kuwaacha watu wengi,hususan wafuasi wa Raila,wakiwa hawaamini kinachoendelea,binafsi...
Saturday, 29 December 2007
10:37
Unknown
CELTIC, MOTHERWELL, RANGERS, SCOTLAND, SOKA
No comments

Kapteni wa timu ya soka ya Motherwell ya Scotland,Phil O'Donnell,amefariki dunia muda mfupi baada ya kuanguka uwanjani katika mchezo wa Ligi Kuu ya hapa dhidi ya Dundee United.Mchezaji huyo aliyeanguka wakati anabadilishana nafasi na mchezaji mwenzie (substitution),alitibiwa kwa muda mfupi uwanjani...
Thursday, 27 December 2007
06:40
Unknown
AL-QAEDA, BHUTTO, MAUAJI, PAKISTAN, SAUDI ARABIA
No comments

Mwanasiasa mahiri na Waziri Mkuu wa zamani wa Pakistani,Benazir Bhutto ameuawa baada ya kupigwa risasi mjini Rawalpindi,karibu na mji mkuu wa nchi hiyo Islamabad.Mwanamama huyo ambaye alirejea nchini humo hivi karibuni akitokea kwenye hifadhi ya kisiasa,alipigwa risasi mbili,moja ya shingoni na nyingine...
Wednesday, 26 December 2007
MAKALA HII ILIPASWA KUTOKA KATIKA TOLEO LA WIKI HII LA GAZETI LA RAIA MWEMA LAKINI HAIKUTOKA KWA SABABU ZILIZO NJE YA UWEZO WANGU.Majuzi niliongea kwa simu na rafiki zangu wawili wa siku nyingi.Mmoja ni “mjasiriamali” anayeishi Dar es Salaam (hakasiriki ninapomtania kwamba yeye ni “misheni tauni”).Mwingine yuko Ifakara,mji niliozaliwa.Niliongea na rafiki zangu hawa kuwatakia heri na Baraka za mwaka mpya 2008.Nikiri kwamba mara nyingi huwa namkwepa...
Tuesday, 18 December 2007
23:41
Unknown
MAFISADI, MAKALA, RAIA MWEMA, TANZANIA
No comments

Wiki hii nazungumzia unafiki wa baadhi ya wanasiasa wetu wakongwe waliokuwa karibu na Mwalimu Nyerere.Mwalimu aliwaamini,nasi pia tuliwaamini.Walikuwa wakiongea "lugha" ya Mwalimu:ujenzi wa jamii sawa isiyo na matabaka,inayothamini utu wa binadamu na yenye kumpa Mtanzania matumaini katika ardhi aliyozaliwa.Lakini...
Wednesday, 12 December 2007
22:47
Unknown
DAWASCO, TANESCO, TANZANIA, WAWEKEZAJI, WAZIRI
No comments
Makala ya wiki hii ndani ya gazeti la Mtanzania inaangalia namna mafisadi wa kigeni wanavyonufaika kutokana na uzembe wa baadhi ya Watanzania wenzetu tuliowakabidhi dhamana za uongozi.Lakini hata kama wawekezaji hao wangekuwa waadilifu hivi kweli ndoto ya "maisha bora kwa kila Mtanzania" itatimia wakati Waziri mwenye dhamana ya maendeleo ya sekta ya Maji (Waziri wa Maji) nae ni miongoni mwa wadaiwa sugu wa maji waliokatiwa huduma hiyo na DAWASCO?Makala...
01:40
Unknown
No comments

Wiki hii nimejaribu kulinganisha unazi wa wapenzi wa michezo wa Uingereza na baadhi ya kasumba za wanasiasa wetu wa huko nyumbani Tanzania.Alfajiri ya Jumapili iliyopita,bondia Mmarekani Floyd Mayweather alitoa kichapo kikali kwa bondia Ricky Hatton wa Uingereza,huko Las Vegas.Kama kawaida yao,na pasipo...
Wednesday, 5 December 2007
KUFUATIA SKANDALI ZA MICHANGO KWA VYAMA VYA SIASA HAPA UINGEREZA,MAKALA YANGU WIKI HII NDANI YA GAZETI LA MTANZANIA INAHOJI KUHUSU MICHANGO YA AINA HIYO HUKO NYUMBANI NA WIMBI LA WAFANYABIASHARA NA WASOMI KUKIMBILIA KWENYE SIASA.BINGIRIKA NAYO HAPAPIA USIKOSE KUSOMA GAZETI MAHIRI KABISA LILILOSHEHENI HABARI NA UCHAMBUZI WA KINA,GAZETI LA RAIA MWEMA .MAKALA YANGU NDANI YA GAZETI HILO INAHUSU "MTAMBO WA TAKUKURU KUNASA SAUTI NA PICHA ZA WANAODAI RUSHWA...
Subscribe to:
Posts (Atom)