KUFUATIA SKANDALI ZA MICHANGO KWA VYAMA VYA SIASA HAPA UINGEREZA,MAKALA YANGU WIKI HII NDANI YA GAZETI LA MTANZANIA INAHOJI KUHUSU MICHANGO YA AINA HIYO HUKO NYUMBANI NA WIMBI LA WAFANYABIASHARA NA WASOMI KUKIMBILIA KWENYE SIASA.BINGIRIKA NAYO HAPA
PIA USIKOSE KUSOMA GAZETI MAHIRI KABISA LILILOSHEHENI HABARI NA UCHAMBUZI WA KINA,GAZETI LA RAIA MWEMA .MAKALA YANGU NDANI YA GAZETI HILO INAHUSU "MTAMBO WA TAKUKURU KUNASA SAUTI NA PICHA ZA WANAODAI RUSHWA ZA NGONO".JE HILI NI "CHANGA LA MACHO" OR SOMETHING FOR REAL?ZAIDI NI HAPA
Wednesday, 5 December 2007
Related Posts:
Wapiga Kura Wanapaswa Kuwaumbua Wachakachuaji wa REDETMajuzi tumemsikia Mwenyekiti Mwenza wa REDET,Dokta Benson Bana akilipuka tena na utafiti wao wa kuchakachua kuhusu mwenendo wa uchaguzi,ambapo kwa mujibu wao wanadai mgombea wa CCM,Jakaya Kikwete anaongoza kwenye kura za maon… Read More
Tumwenzi Baba wa Taifa Kwa Kutimua Mafisadi Oktoba 31Siku kama leo,mwaka 1999 Tanzania ilimpoteza muasisi wa taifa,Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.Kilichowaliza Watanzania wengi ni hofu na mashaka kuhusu hatma ya taifa lao.Pamoja na mapungufu yake ya kibinadamu,Mwalimu alijita… Read More
Siku Maalum Kabisa: Tarehe 10 Mwezi wa 10 Mwaka Elfu Mbili na 10 (10.10.10 au10/10/10 au 10-10-10)Muda maalum kabisa utakuwa hapo saa 4 na dakika kumi na sekunde kumi,ambapo saa na tarehe itakuwa 10.10.10 10.10.10.Tukio hili ni la nadra kupita kiasi na litajiri tena baada ya miaka 100,yaani karne nzima kutoka sasa… Read More
Mashushushu Wanajiandaa Kuchakachua Matokeo ya Uchaguzi?Nimekumbana na post ifuatayo hapo Jamii Forums.Naiwasilisha kama ilivyo kisha tujiulize kwa pamoja (kama tuhuma hizo ni za kweli) wanafanya hivyo kwa faida ya nani?Taarifa ya Siri - Mikakati ya Kuiba Kura Inavyoendelea USALAM… Read More
Mafanikio ya JK: Maisha Bora kwa Wastaafu wa Afrika Mashariki Yamewezekana (PICHA)Wastaafu wa iliyokuwa Jumuiya ya Afrika Mashariki wakiwa wamejilaza tayari 'kusulubiwa na gari la upupu' la FFU.Kosa lao ni kufuatilia haki na stahili zao.Wazee wetu wakipiga swala.Hivi Kikwete angewakalia kooni mafisadi wa K… Read More
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Habari ndugu chahali. Nimepita kwako naona unapigana ile mbaya kutupasha habari Hongera sana. Karibu upitie kwangu www.rsmiruko.blogspot.com
ReplyDelete