
Friday, 27 June 2008

Related Posts:
CHINA,MAREKANI: BERLIN CONFERENCE MPYA (MAKALA NDANI YA RAIA MWEMA)Makala yangu katika toleo la wiki hii la gazeti la Raia Mwema inazungumzia UHURU.Inaanza kwa kuhabarisha kuhusu tangazo la Uhuru wa Kosovo,kisha inachambua "urafiki mpya" wa Marekani na China kwa Bara la Afrika na kuhitimisha… Read More
KISHA TUWASAKE MAFISADI WA NGONO (MAKALA NDANI YA "RAIA MWEMA")Makala yangu katika toleo la wiki hii la gazeti la Raia Mwema inatanua wigo wa uchambuzi kuhusu suala la ufisadi na kuangalia eneo jingine nyeti la ufisadi wa ngono.Umeshawahi kujiuliza ma-miss wangapi wanaletwa jijini Dar ku… Read More
UNAFIKI WA AKINA MWANDOSYA (MAKALA NDANI YA GAZETI LA RAIA MWEMA)Makala yangu ndani ya toleo la wiki hii la gazeti la Raia Mwema inazungumzia UNAFIKI: Ule wa Profesa Mwandosya kuitaka Dawasco isiwataje hadharani mawaziri wanaodaiwa maji na Mamlaka hiyo;ule wa Askofu Thomas Laizer wa KKKT D… Read More
MMETUFILISI NASI LAZIMA TUWAFILISI (MAKALA NDANI YA "RAIA MWEMA")KWANZA NAPENDA KUMPONGEZA BLOGA NAMBIZA TUNGARAZA KWA MAJUMUISHO YAKE MAZURI KUHUSU SAKATA ZIMA LA UFISADI LILILOPELEKEA KUVUNJWA BARAZA LA MAWAZIRI.KATIKA TOLEO LA WIKI HII LA GAZETI LA RAIA MWEMA,MAKALA YANGU INAZUNGUMZIA Y… Read More
UKABILA NA RICHMOND: TUSISUBIRI MAJI YAZIDI UNGA (MAKALA NDANI YA GAZETI LA RAIA MWEMA)Makala yangu ndani ya toleo la wiki hii la gazeti la Raia Mwema inatoa lawama kwa wale ambao baada ya kutajwa kwenye Ripoti ya "Tume ya Mwakyembe" wamekuja na ngonjera za ukabila,eti kuna mpango wa ethnic cleaning dhidi ya ka… Read More
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Huu ni upuuzi uondoe bwana Chahali. Hivi wote tukiweka tujuavyo hii blog itasomeka? Jamani acheni uhuni na ushamba.Huyu anayejiita Z hatusaidii kitu kwa kuweka madude marefu hivi. Kama anajua anachosema mbona ameficha jina lake na kuweka utumbo wake. Kama ingekuwa mimi ningeufutilia mbali uchafu wake.
ReplyDelete