NINASIKITIKA KUWATANGAZIA KIFO CHA MAMA YANGU MZAZI ADELINA MAPANGO KILICHOTOKEA IFAKARA MOROGORO TAREHE 29/05/2008 NA MAZISHI YALIKUWA JANA TAREHE 02/06/2008 KATIKA MAKABURI YA UKOO WA CHAHALI HAPA IFAKARA.NAWASHUKURU NYOTE AMBAO KWA NAMNA MOJA AU NYINGINE MLIUNGANA NAMI KATIKA KUMUOMBEA MAMA APONE LAKINI BWANA AMEMPENDA ZAIDI NA HATIMAYE KUMREJESHA KWAKE.UKOO WA CHAHALI NA MAPANGO UNAWASHUKURU SANA KWA USHIRIKIANO WENU.BWANA AMETOA BWANA AMETWAA,JINA LA BWANA LIHIMIDIWE MILELE.
Tuesday, 3 June 2008
07:39
Unknown
MSIBA
6 comments
Related Posts:
Mazishiya Mtanzania Aliyefariki ghafla huko Boston,Massachusetts, Marekani (PICHA)Marehemu Patrin Kibelloh aliefariki ghafla siku ya Jumanne July10,2012. alizikwa Ijumaa july13 huka kwenye makaburi ya Gardner, West Roxbury ,Massachusset. Nchini Marekani Baadhi ya ndugu na ma… Read More
Taswira za Safari ya Mwisho ya Kanumba (PICHA ZOTE KWA HISANI YA MXCARTER) … Read More
Picha za Mazishi ya Marehemu REGIA MTEMA huko IfakaraPicha zote kwa hisani ya Jamii Forums… Read More
MSIBA MZITO: Askofu Thomas Laizer wa KKKT AfarikiHabari zilizotufikia hivio punde kutoka Jijini Arusha zinaarifu kuwa Askofu wa KKKT Dayosisi ya Kaskazini Kati, Ask Thomas Laizer amefariki dunia.Taarifa hizo zinadai kuwa Ask. Laizer amefikwa na umauti alasiri ya leo katika … Read More
Taarifa Zaidi kutoka Chadema Kuhusu Msiba wa Mheshimiwa Regia MtemaTANZIAChama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimepatwa na majonzi makubwa na kinasikitika sana kwa kifo cha Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama Taifa, Mheshimiwa Regia Mtema ambaye pia ni Mbunge wa Viti Maalum na Waziri Kivuli… Read More
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
POle sana kaka.
ReplyDeletePole sana Mkuu!Mungu amlaze mahali pema peponi Marehemu!
ReplyDeleteASANTENI SANA NDUGU ZANGU
ReplyDeletePole sana Evarist kwa msiba, natumaini shughuli za mazishi zilikwenda vema na sasa unajaribu kurudi kwenye self normal.
ReplyDeleteMungu ampumzishe mama mahali pema peponi na mwanga wa milele amuangazie. Amin.
Asante sana Dinah
ReplyDeletePole sana Evarist, Mungu amlaze mama pema na mwanga wa milele amwangazie.
ReplyDeleteSikuweza kuwasiliana na wewe na kukupa pole zangu kwani simu yako ya Abardeen inaita tu. Uko wapi kwa sasa?
Lucy