Thursday, 31 December 2009

BLOGU HII INAWATAKIA NYOTE HERI NA BARAKA KWA MWAKA 2010.NAAMINI TUTAENDELEA KUSHIRIKIANA KWA MICHANGO YA MAWAZO NA KUKOSOA PALE INAPOBIDI,NAMI NAAHIDI KUWEKA MABANDIKO ZAIDI KATIKA MWAKA UJAO.ASANTENI S...

Tuesday, 29 December 2009

THE NATION AND BEYOND THE Publishers of MwanaHALISI, your enviable Kiswahili weekly in Tanzania, wish to convey to you, our warmest Season Greetings that bring with them a New Year – 2010. We have always done our piece in Investigative and Public Journalism; we are now engaged in...

Thursday, 24 December 2009

There will always be bad,or even worse,Santas.Look at THIS,for example.ANYWAYS,WISHING YOU ALL MERRY CHRISTM...

Saturday, 19 December 2009

Ahadi za urais 2005 zamtesa Kikwete uchaguzi wa mwakaniRais Jakaya Kikwet, mzigo mzito wa ahadi zake za mwaka 2005 unamkabili uchaguzi ujao 2010.Na Mwandishi WetuMIEZI michache ikiwa imebaki kabla ya kuanza kwenda kwa wananchi kuomba ridhaa ya kuongoza nchi kwa kipindi kingine cha miaka mitano, Rais...

Thursday, 17 December 2009

Waziri wa Sheria adai Bunge la sasa halina ubavu kwa serikaliNa Leon BahatiWAZIRI wa Sheria na Katiba, Mathias Chikawe amezidi kutoa kauli tata baada ya kuligeukia Bunge la Jamhuri ya Muungano, akisema halina nguvu ya kuilazimisha serikali kufanya mambo na kwamba kazi yake ni kuishauri.Hiyo ni kauli...

Wednesday, 16 December 2009

Prof Shivji asema Rais Kikwete ana mamlaka kisheria kuwabana mafisadi*WENGINE WAMTAKA WAZIRI CHIKAWE AACHE KUKURUPUKANa Sadick MtulyaSIKU moja baada ya Waziri wa Sheria na Katiba Mathias Chikawe kusema Rais Jakaya Kikwete hawezi kutumia mamlaka yake kuwabana mafisadi, baadhi ya wanasheria nchini, akiwamo...

Monday, 14 December 2009

Waziri Chikawe asema Kikwete hawezi kuwabana mafisadi*Asema Rostam, Dk Hoseah hawakamatiki*Asikitika DPP, DK Hoseah kuparuanaNa Leon BahatiWAZIRI wa Katiba na Sheria, Mathias Chikawe amesema Rais Jakaya Kikwete hana uwezo kutumia mamlaka yake kuwapeleka mahakamani watuhumiwa wa ufisadi kwani hilo ni...

Sunday, 13 December 2009

Mara Sophia Simba dhidi ya Anne Kilango,mara Rostam Aziz dhidi ya Mwakyembe,mara tunaambiwa Kamati ya Mwinyi nako "hakieleweki",na sasa watendaji wakuu na wateuliwa muhimu wa Rais,Mkurugenzi wa TAKUKURU Dr Edward Hosea na Mkurugenzi wa Mashitaka (DPP) Eliezer Feleshi nao wameingia kwenye malumbano,kama...

Friday, 4 December 2009

TOFAUTI na alivyojigamba kwamba ni mlipaji mzuri wa madeni anayodaiwa na serikali, Mbunge wa Igunga, Rostam Azizi anadaiwa Sh. 2,576,583,013 tokea mwaka 1993, MwanaHALISI limegundua.Alikopeshwa Sh. 2 bilioni (2,025,739,660) mwaka 1993 na 1997 na Mfuko wa Kuwezesha Uagizaji Bidhaa (CIS) uliokuwa ukifadhiliwa...

Thursday, 3 December 2009

Sijui tuiweke CCM katika kundi gani maana kila kukicha ni songombingo moja baada ya nyingine.Of course,migongano ni jambo la kawaida kwani hata ukiweka glasi katika boksi moja zinaweza kugongana kama si kuvunjika kabisa.Ndio maana maboksi yaliyosheheni glasi huwa na tahadhari "handle with care" au "fragile".Pengine...

Honorable office of SenateFederal Republic of NigeriaSenate Building Wuse AbujaFROM; Senator. David Mark,Senate President Federal Republic of Nigeria.Dear Beneficiary,SENATE COMMITTEE ON OUTSTANDING FOREIGN PAYMENT.May i use this juncture to notify you that our new Government have Paid the billswhich...

Monday, 30 November 2009

...

...

When 50 Cent ended his 2003 relationship with actress Vivica A. Fox, the two exchanged insults so harsh that there was no chance for a reconciliation. Until now!Six years after they split, 50 Cent confirms their newfound friendship on The Tyra Show Tuesday.See photos of Hollywood's ugliest splits!"I...

Sunday, 29 November 2009

(AFP) – 7 hours agoPORT OF SPAIN — Tanzania has fiercely denied allegations said to come from the United Nations that it has illegally funneled arms to Rwandan Hutu rebels in the Democratic Republic of Congo."It is simply not true. It is an outright malicious lie being concocted with the evil intention...

In 2002, one in every 109 £1 coins was a fake. Today it's one in 40. A former counterfeiter reveals how to spot the fake in your pocket... and asks the question: bearing in mind you can't swap one for legal tender, would you throw yours in the bin?READ MORESOURCE: The Daily M...

Saturday, 28 November 2009

http://ping.fm/zj...

KINGSTON, JamaicaRAIS Jakaya Kikwete ametaka ushirikiano zaidi kati ya Jamaica na Tanzania katika nyanja za muziki na michezo."Jamaica ina wanariadha wenye kasi zaidi duniani kwa sasa," alisema kwa kusifia.Alisema kuwa muziki wa rege ni maarufu zaidi nchini Tanzania, huku akimtaja nyota wa muziki huo,...

Friday, 27 November 2009

Uwajibikaji uliotukuka au kupitiliza majukumu?Who cares as long as we are kept safe.Katika magazeti mbalimbali ya hapa Uingereza kuna habari kwamba Waziri wa Usalama,Lord West,amehenyeshwa na askari baada ya kusimamishwa na kusachiwa (stop and search) kwa mujibu wa sheria za kuzuia ugaidi.Uzuri wa hawa...

Saturday, 21 November 2009

Happy birthday to the best dad I know,A father I love and respect,A dad who fulfills all his dutiesTo teach, to guide, to protect.If everyone had such a father,A really good dad like mine,The world would be so much better,It would look like God’s own desi...

AND LISTEN TO THIS SERIAL MASTURBATERTHE JACKO REINCARNA...

Thursday, 19 November 2009

Associated Press guardian.co.uk, Friday 30 October 2009 18.09 GMT Article history Barack Obama said today that a US travel ban against people infected with the HIV virus will be overturned early next year.The order will be completed on Monday, Obama said, finishing a process begun during the administration...

Monday, 16 November 2009

BUSARA ZINAELEKEA KUSHINDWA KUFANYA KAZI KATIKA TANZANIA YA SASA.BUSARA ZIMEKUWA ZIKITUFUNDISHA KUWA UTU UZIMA DAWA LAKINI TUKIANGALIA JINSI MAMBO YALIVYO SHAGHALA BAGHALA LICHA YA KUWEPO KWA WAZEE-KAMA KINGUNGE NGOMBALE MWIRU-WENYE NGUVU KATIKA ULINGO WA SIASA NI DHAHIRI UTU UZIMA UMESHINDWA KUJIDHIHIRISHA...

Saturday, 14 November 2009

Zobacz więcej na www.streemo...

Friday, 13 November 2009

Baraza la Mawaziri la Kikwete lagawanyikaGodfrey DilungaNovemba 11, 2009Mawaziri kumi wataka watuhumiwa waadhibiweWanane wanawatetea, waliosalia hawana msimamoSophia Simba asonywa na wenzakeBAADA ya Kamati inayoongozwa na Rais mstaafu Ali Hassan Mwinyi kuzungumza na wabunge wa Chama Cha Mapinduzi na...

Categories

Unordered List

Sample Text

Blog Archive

Labels

Follow Us on FaceBook

Popular Posts

Recent Posts

Recent Comments

Recent Premium Themes

Your Links

Flickr

Powered by Blogger.

Blog Archive

Followers

Download

Your Links

Blogger Tricks

Popular Posts

Recent Posts

Text Widget