LINK http://goo.gl/Lh...
Friday, 31 May 2013
Thursday, 30 May 2013
Magufuli amkana Sitta, asema hana ubia naye urais 2015Siku chache baada ya Waziri wa Afrika Mashariki Samuel Sitta kumhusisha Dk John Magufuli na kundi la urais la mwaka 2015, Waziri huyo wa Ujenzi, ameibuka na kupinga kauli hiyo, akisisitiza hafikirii kuwania nafasi hiyo.Waziri Sitta alinukuliwa na...
Wednesday, 29 May 2013
Tuesday, 28 May 2013

Tarehe kama hii, miaka mitano uliyopita,mama mpendwa Adelina Mapango, uliagana nasi. Nikisema 'uliagana nasi' inaweza kutafsiriwa kana kwamba ulipata nafasi ya kutuaga.Nilikuja huko nyumbani kukuuguza Februari 2008, lakini tangu nilipokuona pale Muhimbili hadi tarehe 29 Mei 2008 hukuwahi japo kuniambia...
Monday, 27 May 2013
Sunday, 26 May 2013
Saturday, 25 May 2013
22:54
Unknown
CUF, JAKAYA KIKWETE, LIPUMBA, UDINI
No comments
MWENYEKITI wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba, ameibua suala zito akikihusisha chama chake na “kumnusuru” Rais Jakaya Kikwete katika uchaguzi mkuu uliopita.Tanzania Daima limefahamishwa kuwa Profesa Lipumba alitoboa siri hiyo katika Msikiti wa Idrissa, Kariakoo, jijini Dar es Salaam,...
Subscribe to:
Posts (Atom)