Friday, 28 February 2014

...

“HUYU naye vipi? Mhasibu mzima anapenda basi la wafanyakazi! Hana japo pikipiki na bado anaishi nyumba ya kupanga. Ama kweli kwenye miti hakuna wajenzi...”.  Hii ilikuwa kauli ya mfanyakazi mwenzangu wakati nilipokuwa mwajiriwa wa taasisi moja ya umma huko nyumbani.Mhasibu aliyekuwa akiongelewa...

Wednesday, 19 February 2014

KABLA ya kuanza kuandika makala hii nilikutana na habari moja mtandaoni iliyonifanya nijiulize  iwapo Rais Jakaya Kikwete anapata muda wa kuangalia kalenda kufahamu muda uliobaki kabla hajamaliza muhula wake wa pili na wa mwisho wa Urais.Habari hiyo ilihusu hotuba ya Rais Kikwete aliyoitoa mjini...

Thursday, 13 February 2014

HATIMAYE mchakato wa kupata Katiba mpya unaelekea kufikia hatua nzuri baada ya Rais Jakaya Kikwete kufanya uteuzi wa wajumbe 201 wa Bunge la Katiba.Hata hivyo, wakati uteuzi huo ulikuwa ukisubiriwa kwa hamu hasa kwa minajili ya kujua wateuliwa, hatua inayofuata ya Bunge lenyewe la Katiba ni ngumu zaidi.Kabla...

Monday, 10 February 2014

Thursday, 6 February 2014

TANGU Januari 7 mwaka huu, Rwanda imekuwa katika maadhimisho ya miaka 20 ya mauaji ya kimbari yaliyotokea kati ya mwaka 1994 hadi 1995, na kugharimu maisha ya takriban watu milioni moja.Maadhimisho hayo yaliyopewa jina la Kwibuka 20 (‘kwibuka’ ni neno la Kinyarwanda lenye maana ya ‘kumbuka’) yanaambatana...

Categories

Unordered List

Sample Text

Blog Archive

Labels

Follow Us on FaceBook

Popular Posts

Recent Posts

Recent Comments

Recent Premium Themes

Your Links

Flickr

Powered by Blogger.

Blog Archive

Followers

Download

Your Links

Blogger Tricks

Popular Posts

Recent Posts

Text Widget