Friday, 31 July 2009

Ushaskia kuhusu political conmanship?Hebu soma kwanza habari ifuatayo kisha tujadili Spika Sitta aomba ulinzi zaidi, adai nguvu ya mafisadi inahatarisha maisha yakeSpika wa Bunge la Jamuhuri ya Muuangano wa Tanzania sasa anahofia maisha yake kutokana na vitisho vya mafisadiSpika Sitta aomba ulinzi zaidi,...

Thursday, 30 July 2009

Tume huru inayochunguza uhusika wa Uingereza katika vita ya Iraki imetangaza kuwa itamhoji Waziri Mkuu wa zamani wa Uingereza Tony Blair.Atakayenuna na anune,lakini ni dhahiri kuwa Rais wetu mstaafu ( wa awamu ya tatu),Benjamin William Mkapa,amekuwa akiandamwa na tuhuma za ufisadi wakati akiwa jengo...

Kizitto Noya, DodomaSASA ni wazi kwamba sakata la Richmond limeingia katika hatua nyingine baada ya Kurugenzi ya Mawasiliano ya Ofisi Rais kutangaza kwamba, Rais Jakaya Kikwete hahusiki kwa namna yoyote na kashfa hiyo ambayo inaendelea kulitikisa taifa kwa muda sasa.Hatua ya Rais Kikwete kutotaka kuhusishwa...

Wednesday, 29 July 2009

BARAZA LA MAASKOFU KATOLIKI TANZANIA(TEC)Mpendwa Msomaji,Tume ya Haki na Amani ya Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania inayo furaha kukuletea Ilani hii.Madhumuni ya matini hii ni kukualika tutafakari pamoja juu ya masuala muhimu yanayotukabili kama Taifa.Tunawashukuru Wanataaluma Wakristo wa Tanzania...

(Picha kwa hisani ya MJENGWA)Wenzetu wa huku Magharibi wanasifika kwa kuwajali watoto. Licha ya serikali zao kutunga sheria zenye kulenga kuzuia na kukomesha uonevu, unyanyasaji, ukatili na unyama mwingine dhidi ya watoto, kuna mlolongo wa taasisi za kiserikali na zisizo za kiserikali zinazojihusisha...

Tuesday, 28 July 2009

Picha kwa Hisani ya MJENGWA.Uchambuzi zaidi kesho,panapo majali...

Thursday, 23 July 2009

Hiyo sio sanamu,bali "msanii" mmoja ambaye kila wikiendi anavizia mtaa ulio bize na "kuganda kama sanamu" kisha kutoa vijishara vya kuvunja mbavu.Hulazimishwi kutoa asante bali "mchango wako utathaminiwa".Ni mchanganyiko wa ubunifu na "usanii" (i.e. ujanja-ujanja wa kuishi mjini) Huyu nae ni mtaalam...

Wednesday, 22 July 2009

...

Riot police have broken up a tense standoff between black and white protesters in a town in Texas. The conflict began with a march by 100 mostly African-American activists, who were unhappy at the state’s handling of the case of 24-year-old Brandon McClelland who was run over and killed by a vehicle.Speaking...

Wednesday, 15 July 2009

na Charles MullindaIMEBAINIKA kuwa, Ofisi ya Bunge imetumia vibaya mamilioni ya shilingi yaliyotolewa na serikali kwa ajili ya uendeshaji wa ofisi hiyo katika kipindi cha mwaka wa fedha wa 2007/2008.Hayo yamebainishwa na baadhi ya wabunge wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) katika mahojiano...

Categories

Unordered List

Sample Text

Blog Archive

Labels

Follow Us on FaceBook

Popular Posts

Recent Posts

Recent Comments

Recent Premium Themes

Your Links

Flickr

Powered by Blogger.

Blog Archive

Followers

Download

Your Links

Blogger Tricks

Popular Posts

Recent Posts

Text Widget