Katika Toleo hili la Nne la MAKALA ZA SAUTI ninazungumzia Umoja wetu kama Msingi wa Amani linganifu (relative) tuliyonayo huko nyumbani.Kilichonihamasiaha kuzungumzia hilo ni maadhimisho ya miaka 60 ya utawala wa Malkia Elizabeti wa Pili na jinsi unavyowaunganisha Waingereza.Pia nimegusia lugha yetu ya Taifa Kiswahili na tishio linaloikabili licha ya kuwa moja ya mambo muhimu yanayotuunganisha Watanzania. Basi nisikumalizie uhondo,niskize hapa chini...na karibu sana kunitumia maoni.
Tuesday, 5 June 2012
Related Posts:
Toleo la Pili la Makala za Sauti: Shukrani na Uhamasishaji Dhidi ya UbinafsiKwanza ninawashukuru wote walionipatia mchango wao wa mawazo kuhusu idea hii ya Makala za Sauti.Ninasema ASANTENI SANA.Pili,wengi wa mlionitumia maoni yenu mmezungumzia uhafifu wa sauti.Nimelifanyia kazi hilo na ndio iliyopel… Read More
Makala Za Sauti Toleo la Nne: Amani na Umoja wa WatanzaniaKatika Toleo hili la Nne la MAKALA ZA SAUTI ninazungumzia Umoja wetu kama Msingi wa Amani linganifu (relative) tuliyonayo huko nyumbani.Kilichonihamasiaha kuzungumzia hilo ni maadhimisho ya miaka 60 ya utawala wa Malkia Eliza… Read More
Makala za Sauti Toleo la Sita: Nani Aliyemteka na Kumtesa Dokta Ulimboka?… Read More
Makala Za Sauti Toleo La Tatu: Vurugu za Zanzibar Na Hatima ya MuunganoNaomba kuwaletea toleo la tatu la mfululizo wa Makala za Sauti.Kamanilivyobainisha katika matoleo mawili yaliyopita,hadi sasa bado nipo katika hatua ya majaribio.Ninafanya kila linalowezekana kupata vitendea kazi bora kabisa(… Read More
Makala za Sauti Toleo la 5: "Vijembe Bungeni, Kuzibana Midomo na Milioni 10 kwa Wabunge" … Read More
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment