Sunday, 28 February 2010

MBUNGE wa Sikonge, Said Nkumba (CCM) juzi jioni alimuacha hoi Waziri Mkuu Mizengo Pinda, pale alipowapa salamu ya shikamoo watoto ili pamoja na wazazi wao wamchague tena kuendelea kuwa mbunge wa jimbo hilo katika uchaguzi mkuu ujao.Tukio hilo lilitokea wakati Waziri Mkuu alipokuwa akiwahutubia wananchi...

Technorati Tags: CELTIC,RANGERS,GLASGOW,SCOTTISH FOOTBALL,MAURICE EDU,SPL,HENRIK LARRSON Rangers have extended their Scottish Premier League (SPL) lead to 10 points after beating their Glasgow arch-rivals Celtic, thanks to a Maurice Edu’s goal seconds from the end of the Old Firm derby. Well,I...

Saturday, 27 February 2010

na Mwandishi Wetu, Urambo WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda, amemmwagia sifa kemkem Spika wa Bunge, Samuel Sitta akisema amejenga Bunge lenye sifa na umakini. Pinda ambaye majuzi alimmwagia sifa Mbunge wa Igunga, Rostam Azziz (CCM) akiwataka wananchi wake wampime kwa kazi yake ni si kwa maneno...

Friday, 26 February 2010

Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia Rushwa TAKUKURU Dr. Edward Hosea akimkaribisha Rais Jakaya Mrisho Kikwete kufungua mkutano mkuu wa Mwaka wa taasisi hiyo.Picha kwa hisani ya MJENGWAHivi karibuni,uongozi wa kampuni ya magari ya Toyota ya Japan ulifanya jambo moja la kiungwana kwa kuwaomba radhi wateja...

Tuesday, 23 February 2010

Angalia "mchemsho" huu  wa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano Samuel SITTA.Anarusha tuhuma nzito dhidi ya wanaharakati wanaokusudia kuandamana kupinga "mahitimisho ya mjadala wa Richmond bungeni" ilhali katika habari husika ameshindwa kuthibitisha tuhuma hizo.Kibaya zaidi,yeye mwenyewe aliporushiwa...

Monday, 22 February 2010

WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda amewashauri wananchi wa Jimbo la Igunga mkoani Tabora wasimkatae Mbunge wao Rostam Aziz wakati wa uchaguzi mkuu ujao kwa kusikia maneno yanayosemwa bungeni, badala yake wazingatie kile alichowafanyia.Wakati Pinda anampigia debe Mbunge huyo jana kwenye mkutano wa hadhara katika...

Sunday, 21 February 2010

Testing everyone at risk of HIV and treating them with anti-retroviral drugs could eradicate the global epidemic within 40 years, according to the scientist at the centre of a radical new approach to fighting Aids.An aggressive programme of prescribing anti-retroviral treatment (ART) to every person...

Friday, 19 February 2010

The brazen assassination of Mahmoud al-Mabhouh has thrown the spotlight on one of Israel’s most powerful but shadowy figures, Meir Dagan, the current Mossad chief, who yesterday faced calls for his resignation.There is a piece of folklore often repeated about him: when he was appointed in 2002, Ariel...

Wednesday, 17 February 2010

Anti-corruption activists demonstrate outside President Mwai Kibaki's office in NairobiBy Francois Ausseill (AFP) NAIROBI — Kenyans on Wednesday marched to vent their anger at a coalition government slowly falling apart over graft allegations and its inability to further key reforms pledged two years...

Tuesday, 16 February 2010

Israel's Mossad secret service, more formally known as the Institute for Espionage and Special Tasks, has a long history of carrying out clandestine operations, including several spectacular assassinations. Much remains secret but cases that are documented have involved large teams of agents using false...

Monday, 15 February 2010

Pamoja na kuwa moja ya nchi maskini kabisa duniani, Tanzania yetu bado inaendelea kusifika kwa mambo kadhaa. Ukiachia mbali vivutio vya asili kama Mlima Kilimanjaro, utitiri wa wanyama huko Selous, Mikumi na kwingineko, na “utajiri” wa madini kama Tanzanite,dhahabu, almasi na madini mengineyo,nchi...

Wednesday, 10 February 2010

Baada ya danadana za muda mrefu ndani na nje ya bunge,hatimaye mjadala wa ujambazi wa Richmond umefungwa rasmi.Kwa mujibu wa taarifa zilizopatikana kutoka Dodoma,bunge limeridhia taarifa ya utekelezaji wa Azimio lake kuhusu suala la Richmond.Kwa lugha nyepesi,wawakilishi wetu wameridhia ujambazi uliofanywa...

Sunday, 7 February 2010

Naomba kujadili mada ambayo imekuwa ikijirudia mara kwa mara kuhusu “wanaume wa kibongo”.Nikiri kuwa sina hakika neno “wanaume wa kibongo” linamaanisha Watanzania pekee au Waafrika kwa ujumla au Weusi (Blacks) wote.Ila kwa madhumuni ya mjadala huu,nitayumkinisha kuwa walengwa ni wanaume wa Kitanzania....

Saturday, 6 February 2010

In case you don’t know, I’m a smoker. I plan to quit though. I know it’s a bad habit, and I should have avoided it in the first place. However, it’s always better late than never. One thing I have learnt from smoking is the kind of friendship smokers develop, at least back home in Tanzania. A smoker...

...

Categories

Unordered List

Sample Text

Blog Archive

Labels

Follow Us on FaceBook

Popular Posts

Recent Posts

Recent Comments

Recent Premium Themes

Your Links

Flickr

Powered by Blogger.

Blog Archive

Followers

Download

Your Links

Blogger Tricks

Popular Posts

Recent Posts

Text Widget