Makala yangu katika toleo la wiki hii la jarida mahiri la Raia Mwema inazungumzia changamoto zinazoikabili Idara yetu ya Usalama wa Taifa (TISS).BONYEZA HAPA kuisoma pamoja na habari na makala nyingine moto moto ndani ya jarida hili makini kwa habari na uchambuzi.
Thursday, 31 March 2011
01:28
Unknown
RAIA MWEMA
3 comments
Related Posts:
Makala ambayo haikuchapishwa: @FidQ, #SiriYaMchezo na Bongoflava kama wakala wa MabadilikoMakala hii iliandikwa kwa minajili ya kuchapishwa katika jarida la Raia Mwema toleo la Oktoba 23. Hata hivyo haikuchapishwa kwa madai kuwa ilikuwa inapromoti msanii Fid Q na wimbo wake mpya wa Siri ya Mchezo. Whether uamuzi w… Read More
Makala yangu katika RAIA MWEMA Toleo la 09.10.13: "Tujiandae Kisaikolojia kupata Katiba Mpya"NIANZE makala hii kwa pongezi zangu za dhati kwa Ubalozi wetu nchini Kenya ambao juzi ulitangaza kuwa umejiunga na mtandao wa kijamii wa Twitter. Kadhalika, naushukuru ubalozi huo kwa heshima waliyonipatia kwa ‘kunitwiti… Read More
Makala yangu ktk RAIA MWEMA (25.09.13): "Magaidi wahitaji sekunde tu, dola yahitaji kila sekunde"NIANZE makala hii kwa kutoa salamu zangu za rambirambi na pole kwa ndugu zetu wa Kenya kutokana na shambulio la kigaidi lililotokea mwishoni mwa wiki jijini Nairobi. Kikundi cha kigaidi cha Al-Shabaab kimekiri hadharani kuwa … Read More
Magazeti ya leo Okt 3, 2013 na Makala yangu RAIA MWEMA la 02.10.13: Ukweli haufungiwiJUMAMOSI iliyopita, Watanzania wengi walipatwa na mshtuko baada ya kusikia au kusoma taarifa kwamba Serikali imeyafungia magazeti ya kila siku ya Mwananchi na Mtanzania. Kwa mujibu wa taarifa hiyo, gazeti la&nb… Read More
Makala yangu Ktk RAIA MWEMA Toleo la Okt 30, 2013: "CCM Itang'oka, Chadema Itaweza Kuongoza?"NIANZE makala hii kwa kuomba radhi kutokana na kuadimika kwangu katika matoleo mawili yaliyopita. Hali hiyo ilitokana na sababu zilizokuwa nje ya uwezo wangu.Uandishi wa makala katika gazeti hili maridhawa umekuwa sehemu muhi… Read More
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Bwana Chahali, huyu Almasi ni manamba wa CCM na mtumwa wa mawazo yake finyu. Nilichokigundua hapa ni kuwa aliguswa sana na hii article ndiyo maana ameamua kupoteza muda kuandika pumba zake hizi zilizoshiba chuki binafsi. Endelea kuwasha moto wala wala hakuna kurudi nyuma.
ReplyDeleteAsante mkuu Malkiory
ReplyDeletenashukuru sana umeongolea suala hili muhimu so called "usalama wa taifa", maelezo yote ni sahihi kabisa. katika hali ambayo inashangaza kwa chombo hiki ambacho kimekuwa sio tena kina manufaa kwa taifa hili bali ni taasisi ambayo haikidhi masilahi ya watanzania tena. taasisi hii ni sehemu ya lundo la watu wanojiita maafisa waliopata Elimu duni sana na kupewa majukumu makubwa na mhimu kwa taifa hili, kutokana na ufinyu wa elimu walizo nazo wanaona wanapewa fadhila katika nafasi walizonazo, hii ni hatari sana kwa nchi, jingine ninaloweza kusema kuwa taasisi hii imekuwa ni mkono wa KUSHOTO kwa viongozi wachafu kuandama watu wanaoelekea kutishia madaraka ya watu hao.hakuna asiye jua yanayotokea ndani na nje ya taasisi hii.kama ccm wavyodai wanatakiwa waondoe gamba lao ambavyo sio rahisi hivyo taasisi hii nayo inatakiwa itupe gamba lake na kuajiri watu kwa masilahi ya taifa. mwandishi umekuwa na dhamila ya dhati kwa nchi yetu daima ukweli utakufanya uwe huru.
ReplyDelete