Toleo la kwanza (nataraji kufanya audio hizi angalau mara moja kwa wiki) ni hili hapa Natambua kuwa kiwango cha audio sio cha hali ya juu lakini toleo hili la kwanza ni la majaribio,na iwapo wasomaji mtaafiki wazo hili basi nitajitahidi kupata nyenzo bora ya kurekodia ujumbe husika.
Monday, 21 May 2012
16:03
Unknown
Makala za Sauti
3 comments
Toleo la kwanza (nataraji kufanya audio hizi angalau mara moja kwa wiki) ni hili hapa Natambua kuwa kiwango cha audio sio cha hali ya juu lakini toleo hili la kwanza ni la majaribio,na iwapo wasomaji mtaafiki wazo hili basi nitajitahidi kupata nyenzo bora ya kurekodia ujumbe husika.
Related Posts:
Toleo la Pili la Makala za Sauti: Shukrani na Uhamasishaji Dhidi ya UbinafsiKwanza ninawashukuru wote walionipatia mchango wao wa mawazo kuhusu idea hii ya Makala za Sauti.Ninasema ASANTENI SANA.Pili,wengi wa mlionitumia maoni yenu mmezungumzia uhafifu wa sauti.Nimelifanyia kazi hilo na ndio iliyopel… Read More
Makala Za Sauti Toleo la Nne: Amani na Umoja wa WatanzaniaKatika Toleo hili la Nne la MAKALA ZA SAUTI ninazungumzia Umoja wetu kama Msingi wa Amani linganifu (relative) tuliyonayo huko nyumbani.Kilichonihamasiaha kuzungumzia hilo ni maadhimisho ya miaka 60 ya utawala wa Malkia Eliza… Read More
Makala za Sauti Toleo la Sita: Nani Aliyemteka na Kumtesa Dokta Ulimboka?… Read More
Makala za Sauti Toleo la 5: "Vijembe Bungeni, Kuzibana Midomo na Milioni 10 kwa Wabunge" … Read More
Makala Za Sauti Toleo La Tatu: Vurugu za Zanzibar Na Hatima ya MuunganoNaomba kuwaletea toleo la tatu la mfululizo wa Makala za Sauti.Kamanilivyobainisha katika matoleo mawili yaliyopita,hadi sasa bado nipo katika hatua ya majaribio.Ninafanya kila linalowezekana kupata vitendea kazi bora kabisa(… Read More
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Sauti iko chini kidogo na sioni mahala pa kuongeza sauti hapo.
ReplyDeleteNi nzuri balai naomba upitie maoni yangu FB. Pia weka devise ya kureply kwa sauti badala ya kuandika maana ni media mbili tofauti (sauti vs andika)
ReplyDeleteSafi sana mkuu!
ReplyDelete