Picha zote mbili zinamwonyesha Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki Samwel Sitta alipotembelea maonyesho ya kilimo ya Nane Nane mkoani Morogoro.Katika picha zote,Waziri Sitta ameambatana na mlinzi (BODIGADI) kutoka Idara ya Usalama wa Taifa.Ninakumbuka,uamuzi wa kumpatia Sitta ulinzi ulifanywa na Serikali wakati waziri huyo alipokuwa Spika wa bunge lililopita,na alidai anatishiwa maisha.Je matishio hayo bado yanaendelea?Ikumbukwe,gharama za kutoa ulinzi kwa kiongozi ni kubwa sana,na kimsingi,kiprotokali,Sitta hastahili kuwa na bodyguard....unless tumembiwe kuwa tishio dhidi ya maisha yake bado lipo hai
Thursday, 9 August 2012
05:04
Unknown
SAMUEL SITTA, TISS
No comments
Related Posts:
UFISADI OFISI YA BUNGEna Charles MullindaIMEBAINIKA kuwa, Ofisi ya Bunge imetumia vibaya mamilioni ya shilingi yaliyotolewa na serikali kwa ajili ya uendeshaji wa ofisi hiyo katika kipindi cha mwaka wa fedha wa 2007/2008.Hayo yamebainishwa na baad… Read More
BUNGE LENYE MENO.....WELL,YA PLASTIKIHivi karibuni watunga sheria (wabunge) wetu watatu "waliungana" kuandika kitabu walichokipa jina "BUNGE LENYE MENO".Ukiangalia sehemu ndogo tu ya wasifu wa wabunge hao utamaizi kuwa "muungano huo wa uandishi" ulikuwa ni mithi… Read More
MWANDISHI MWENZA WA BUNGE LENYE MENO ATIMULIWA BUNGENI NA MWANDISHI MWENZIE (SPIKA SITTA) Bwana Mapesa,John Momose Cheyo,Mbunge wa Bariadi kwa tiketi ya UDP akitoka nje ya jengo la bunge baada ya kukumbana na makali ya viwango na spidi vya Mheshimiwa Spika Samuel Sitta.Ironically,Cheyo ni mwandishi-mwenza (co-aut… Read More
SITTA: SERIKALI ISIJE KUNILAUMU....Spika wa Bunge, Samuel Sitta amesema kuna maazimio mengi ya Bunge ambayo serikali imekuwa inasuasua kuyatekeleza. Kutokana na hali hiyo, amesema katika mkutano ujao wa Bunge wa bajeti, atatekeleza wajibu wake na serikali isij… Read More
SPEAKER SITTA (OF STANDARDS AND SPEED) DEFENDS 12m/= SALARY RISE FOR MPs(Photo courtesy of ZENJIDAR)By Rodgers Luhwago, DodomaSpeaker of the National Assembly Samuel Sitta has sturdily defended the proposal by legislators to increase their monthly package to 12m/- ($9,078), adding that the move h… Read More
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment