I hope hao wababaishaji wetu wa Usalama wanaweza kuwa na mahala pa kuanzia uchunguzi wao. Tatizo ni kwamba wapo mahiri zaidi kutuandama akina sie tusio na madhara yoyote badala ya ku pre-empty uhalifu kama wa magaidi waliomuua Padre Evarist Mushi huko Zanzibar
Sunday, 17 February 2013
Related Posts:
Sheikh Ponda, UAMSHO watuhumiwa kuhamasisha shambulio la tindikali kwa mabinti wa KiingerezaGazeti la kila siku la Telegraph la hapa Uingereza linaripoti kuwa baadhi ya viongozi wa dini ya Kiislam visiwani Zanzibar wanaamini kuwa shambulio la tindikali dhidi ya mabinti wawili wa Kiingereza, Kirstie Trup na Katie Gee… Read More
COINCIDENCE? Ujumbe na picha kwenye ukurasa wa Facebook wa UAMSHO siku moja kabla ya Mauaji ya Padri MushiI hope hao wababaishaji wetu wa Usalama wanaweza kuwa na mahala pa kuanzia uchunguzi wao. Tatizo ni kwamba wapo mahiri zaidi kutuandama akina sie tusio na madhara yoyote badala ya ku pre-empty uhalifu kama wa magaidi waliomuu… Read More
Mauaji ya Fr Mushi: Baadhi ya Comments kwenye ukurasa wa Facebook wa UAMSHOJumuiya Ya Uamsho na Mihadhara Ya Kiislamu Zanzibar16 hours agoPadri Evarist Mush amepigwa risasi kichwani na kufa papohapo na watu wasiojulikana akiwa njiani anaenda kuendesha misa katika Kanisa la Mt. Theresia liloko katka … Read More
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
ndio maana mnatekwa na kuumizwa kwa kufikiria mambo bila kuchunguza , hiyo ni taasisi na ipo kwa ajili ya kukumbushana kwenye mambo ya dini na wala sio kama ambavyo umeipost hivii. Ila umejitahidi enedelea kuelimisha jamii kupitia blog , ina maana unaimani ya kuwa tz au zanzibar kuna ugaidi?
ReplyDeletewako ndugu zenu kibao huku hatujawafanya kitu na wanatuharibisa system ya masiha ya wazanzibar na hatujawachkulia hatua yyoyotee.
big up ndugu yangu