Saturday, 30 October 2010

Ndugu Watanzania wenzangu wote kwa ujumla mtakaosoma ujumbe huu, Salaam toka Mbeya Vijijini, ndio tumeanza mikutano midogo ya kufunga kazi asubuhi hii na tutahitimisha baadaye.Ninashukuru sana kwa maneno ya heri kwa siku yangu ya kuzaliwa hapo jana na ningekuwa sina shukrani kama ningeacha ipite bila...

Tuesday, 26 October 2010

Nimetumiwa barua pepe yenye habari ifuatayo nami naiwasilisha kama ilivyoTaarifa kutoka Tunduma, mpakani mwa Tanzania na Zambia mkoani Mbeya zinasema kuwa lori la kampuni ya Azam linalomilikiwa na mfanyabiasha maarufu Bakhresa leo hii tarehe 18 Oktoba, 2010, limekamatwa likiwa na shehena kubwa la karatasi...

Add captionWAINGEREZA WANA MSEMO "IF SOMEONE HAS SOMETHING BAD TO SAY ABOUT YOU,IT'S PROBABLY BECAUSE THEY HAVE DON'T HAVE NOTHING GOOD TO SAY ABOUT THEMSELVES",YAANI KWA KISWAHILI,UKIONA MTU ANA BAYA LA KUSEMA KUHUSU WEWE BASI PENGINE NI KWA VILE HANA JEMA LA KUSEMA KUHUSU YEYE MWENYEWE.RAIS ALIYE...

Sunday, 24 October 2010

Siku moja nilikuwa na mazungumzo na babu mmoja wa Kiskotish.Kwa vile ilikuwa ni safari ya masaa kadhaa kwenye treni kutoka mji mkuu wa Uingereza,London kuelekea mji wa kaskazini mashariki mwa Scotland,Aberdeen,tulipata wasaa wa kuongea mengi.Babu huyo ameshawahi kukaa Tanzania,na anajua maneno mawili...

Friday, 22 October 2010

Makala yangu katika jarida la Raia Mwema toleo la wiki iliyopita ililenga kuchokoza mjadala kuhusu "mashushushu".Nilijaribu kutengeneza mazingira ya kumwezesha msomaji kuhitimisha iwapo madai ya mgombea urais kwa tiketi ya Chadema,Dokta Wilbroad Slaa,kuwa Serikali ya Rais Jakaya Kikwete imesambaza Maafisa...

Kama ilivyo ada,toleo la wiki hii la jarida la Raia Mwema limesheheni habari moto moto na makala zilizokwenda shule.Makala yangu katika toleo hili inazungumzia kuhusu Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Jumapili wiki ijayo.Nimejaribu kujenga hoja kwanini miaka mingine mitano kwa Jakaya Kikwete ni hatari...

Thursday, 21 October 2010

Fabolous - BreatheLuniz - I Got Five On ItUploaded by Lvick. - Watch more music videos, in ...

Mke wa BaloziMheshimiwa Balozi Peter KallagheKushoto kwenda Kulia: Mariam Kilumanga (Mwenyekiti wa TAWA), Mama Balozi Joyce Kallaghe na Mariam Mungula (Katibu wa TAWA)Picha zimeletwa na Miss Jest...

Wednesday, 20 October 2010

Serikali sasa yatishia kulifuta MwananchiWednesday, 20 October 2010 07:52Mwandishi WetuSERIKALI imetishia kulifunga au kulifutia usajili gazeti la Mwananchi kwa madai kwamba linaandika habari za uchochezi dhidi ya serikali ya awamu ya nne.Barua ya serikali yenye kumbukumbu namba ISC/N.100/1/VOL.V/76...

Baadhi ya wazazi wa watoto wanaugua ungonjwa wa malaria wakiwa nje ya Kituo cha Afya Nyamongo Wilayani TarimeAnthony Mayunga, TarimeKITUO cha Afya Nyamongo wilayani Tarime hakijapata dawa ya mseto inayotibu malaria kwa kipindi cha miezi mitatu hadi sasa.Tatizo hilo linakwenda kinyume na kampeni za kupambana...

Sunday, 17 October 2010

Moja ya mambo yaliyokuwa yakiwaumiza vichwa wafuasi wa Barack Obama wakati wa kinyang'anyiro kati yake na Hillary Clinton kupata mgombea urais wa Marekani kwa tiketi ya chama cha Democrats mwaka 2008 ni theory inayofahamika kama Bradley Effect.Kwa kifupi kabisa,Bradley Effect (au Wilder Effect) ni hali...

Saturday, 16 October 2010

Senegal welcomed 163 Haitian university students to Dakar Wednesday. Senegalese president Abdoulaye Wade, offered them free education after an earthquake devastated their island nation in January.Sanogier Genevieve Julbertha arrived in Senegal Wednesday, less than a year after a catastrophic earthquake...

Friday, 15 October 2010

Na Mwandishi wetuShirika lisilo la kiserikali linalojishughulisha na kutoa utafiti wa taarifa mbalimbali kwa lengo la kuwawezesha wananchi maamuzi kwa uelewa la Tanzania Citizens Information Bureau (TCIB) limetoa taarifa ya matokeo ya utafiti wa kura ya maoni kuhusu wagombea urais 2010.Akizungumza na...

Makala yangu katika toleo la wiki hii la jarida maridhawa la Raia Mwema inazungungumzia madai ya mgombea Urais kwa tiketi ya Chadema,Dkt Wilbroad Slaa,kuwa serikali ya Rais Jakaya Kikwete imesambaza maafisa usalama nchi nzima ili kuhujumu uchaguzi (kumsaidia Kikwete ashinde).Kwa kutumia taaluma na utaalam...

Thursday, 14 October 2010

Mimi si mwanasheria japo nasaka uhitimu wa kiwango cha kati (katika Sheria) kwa njia ya masafa.Kwahiyo nina uelewa wa wastani kuhusu masuala ya jumla-jumla kuhusiana na taaluma ya Sheria.Na ni katika hilo ndipo nafahamu kuhusu CLASS ACTION.Kwa uelewa wangu wa wastani,Class Action ni aina ya kesi ya...

Awali nilitundika taarifa ifuatayo baada ya kuiona huko Jamii Forums kabla ya post husika kufutwa.Mzembe mmoja akanitumia email akidai mie ndio mtunzi wa taarifa hiyo.Mchumia tumbo huyo alikuwa na kila sababu ya kukasirika just like mafisadi wanavyokasirika kusikia uwezekano wa Dokta Slaa kuingia Ikulu...

Categories

Unordered List

Sample Text

Blog Archive

Labels

Follow Us on FaceBook

Popular Posts

Recent Posts

Recent Comments

Recent Premium Themes

Your Links

Flickr

Powered by Blogger.

Blog Archive

Followers

Download

Your Links

Blogger Tricks

Popular Posts

Recent Posts

Text Widget