Sunday, 3 October 2010




Blogu hii inapenda kutoa salamu za pongezi kwa mpambanaji na mwanaharakati mahiri,Mwalimu Nkwazi Mhango (a.k.a Mpayukaji Msemaovyo) mwenye makazi yake nchini Kanada kwa kutuletea mpambanaji mwingine wa kiume.Ujio wa mwanaharakati huyu mchanga unaweza kuwa dalili njema hasa kwa vile tupo kwenye mchakato wa kuwatimua mafisadi wanaofakamia keki ya taifa letu kama hawana akili nzuri.

Naungana na Mwalimu Nkwazi na familia yake kumtakia kijana wetu afya njema na kila mafanikio ili pindi muda utapowadia ajumuike nasi katika harakati zetu za kupigania usawa katika jamii.

Related Posts:

  • MPAYUKAJI: SAMAHANI MWALIMU SINTAKUENZINDUGU YANGU Mpayukaji Msemaovyo anasema:Naitwa Mchumiatumbo mwana wa Tapeli.Ingawa wakati naandika waraka huu vijana wenzangu wapatao 166 wamo wakimenyeka toka Mwanza hadi Butiama, kama ishara ya kumbukizi ya safari yako adhi… Read More
  • Jipatie Nakala ya Kitabu Hiki Maridhawa SAA YA UKOMBOZIMtunzi wa kitabu hiki maridhawa si mwingine bali ni mchambuzi na mwandishi mahiri wa makala,Mwalimu Nkwazi Nkuzi Mhango,Mtanzania mwenye makazi yake nchini Kanada.Licha ya ualimu na uandishi wa habari,Mhango pia ni mwanaharak… Read More
  • TAFAKURI YA MPAYUKAJI MSEMAOVYO KUHUSU ZITTO KABWENaomba kuiwasilisha kama ilivyoZitto Kabwe: Kumbikumbi huruka na kuliwa na kunguruTAFAKURIMwanahalisi Toleo Na. 168.Na Nkwazi MhangoZITTO Kabwe mbunge wa Kigoma Kaskazini, amekiri kumpa magari matatu ofisa habari za zamani wa… Read More
  • MPAYUKAJI MSEMAOVYO...AU MSEMAKWELI?Nimekuwa mwandishi wa makala magazetini tangu mwaka 1998,takriban miaka 10 sasa.Mtu aliyenipa changamoto la kufanya hivyo anaitwa Albert Memba,mwandishi wa zamani wa habari za michezo katika gazeti la Nipashe na Guardian.Huy… Read More
  • MASWALI MUHIMU KUTOKA KWA MPAYUKAJI MSEMAOVYOJe mama Kikwete ameanza kampeni kwa ajili ya mumewe?na Nkwazi MhangoSiku hizi mke wa rais, Salma Kikwete, anaonekana kwenye kurasa za mbele za magazeti karibu kila siku akiwa mikoani akihamasisha hili na lile. Wengi wanahoji.… Read More

3 comments:

  1. HONGERA SANA KAKA, HAWA NDIO CHACHU YA SERIKALI YETU BONGO, TUWALEE KATIKA UKWELI WAKIJUA WAZI LIFE NI KUPAMBANA ILI UPATE HAKI YAKO, WATAKAPO PIKIKA NA KUIVA TUNAWASHUSHA TARATIBU BONGO. BLESSED

    ReplyDelete
  2. sasa mmegeuza globu zinazosomwa na dunia nzima mahali pa kutuonyesha uzao wenu...angalieni tutawapiga zongo..ohooo
    tupeni habari za kuchallenge msituletee malaika asiyejua alif wala bee

    ReplyDelete
  3. Laiza we mwanga nini ua senge? Kila mara ukiandika unaandika upuuzi kuonyesha usivyo na maana.
    Kosa si kuzaa wala kutangaza uzao bali kuwa na uzao wa laana kama wenu na CCM.

    ReplyDelete

Categories

Unordered List

Sample Text

Blog Archive

Labels

Follow Us on FaceBook

Popular Posts

Recent Posts

Recent Comments

Recent Premium Themes

Your Links

Flickr

Powered by Blogger.

Blog Archive

Followers

Download

Your Links

Blogger Tricks

Popular Posts

Recent Posts

Text Widget