Katika toleo la wiki hii la jarida la Raia Mwema nazungumzia kuhusu tuzo ya milenia,msaada tuliopewa na Waingereza baada ya kuridhishwa kwao na "nidhamu na matumizi yetu" na sifa alizomwaga Obama kuhusu "utawala bora".Cheki makala hiyo hapa bila kusahau makala na habari nyingine motomoto ndani ya jarida hilo maridhawa.
Thursday, 7 October 2010
Related Posts:
Makala Yangu Katika Jarida la RAIA MWEMAKatika toleo la wiki hii la jarida la Raia Mwema nazungumzia kuhusu tuzo ya milenia,msaada tuliopewa na Waingereza baada ya kuridhishwa kwao na "nidhamu na matumizi yetu" na sifa alizomwaga Obama kuhusu "utawala bora".Cheki m… Read More
Makala Yangu Katika Jarida la RAIA MWEMA: Tusikubali Miaka Mingine Mitano IpoteeKama ilivyo ada,toleo la wiki hii la jarida la Raia Mwema limesheheni habari moto moto na makala zilizokwenda shule.Makala yangu katika toleo hili inazungumzia kuhusu Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Jumapili wiki ijayo.N… Read More
Makala Zangu za Raia Mwema Ughaibuni (Katika Jarida la RAIA MWEMA) ZarejeaBaada ya kimya cha miaka miwili na mwezi mmoja hatimaye nimerejea katika ulingo wa uandishi wa makala zangu za Raia Mwema Ughaibuni katika jarida maridhawa la Raia Mwema.Haikuwa rahisi kwangu kukaa kimya huku nchi yetu ikitek… Read More
HAPPY BIRTHDAY JARIDA BORA KABISA LA RAIA MWEMA KWA KUTIMIZA MIAKA MINNEBLOGU HII INAPENDA KUTOA SALAMU ZA HERI YA SIKU YA KUZALIWA KWA JARIDA MWANANA LA RAIA MWEMA AMBALO LILIZALIWA SIKU KAMA YA LEO MIAKA MINNE ILIYOPITA.BINAFSI,JARIDA HILI NI KAMA SEHEMU YA MAISHA YANGU.TANGU WAHUSIKA WANIPATIE… Read More
Makala Yangu ndani ya RAIA MWEMA: Ni Kweli Mashushushu Hutumiwa Kuhujumu Uchaguzi?Makala yangu katika toleo la wiki hii la jarida maridhawa la Raia Mwema inazungungumzia madai ya mgombea Urais kwa tiketi ya Chadema,Dkt Wilbroad Slaa,kuwa serikali ya Rais Jakaya Kikwete imesambaza maafisa usalama nchi nzima… Read More
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Makala nzuri sana. Ina mantiki na lugha inayotiririka vizuri.
ReplyDeleteBwana Chahali tunashukuru kwa maelezo yakinifu yanayohitajika katika Tanzania ya Leo ili watanzania tuliowengi gizani tutambue yanayoendelea duniani kwa uwazi zaidi
ReplyDelete