Thursday, 29 January 2009
15:26
Unknown
BONGOFLAVA
1 comment
Related Posts:
WASANII WETU: NAKO2NAKO FT ENIKA… Read More
Urban Pulse na ASET Wanawaletea Ziara ya Msanii Diamond Hapo NovembaUrban Pulse Creative ikishirikiana na Aset Inapenda kuwataarifu wadau wote wa Music wa bongo Flava na Hip Hop kuwa imeandaa tamasha maalum linaloitwa URBAN TOUR ambapo msanii Diamond kutoka bongo anayetamba na kibao chake ch… Read More
VIDEO ZA BONGOHizi ni miongoni mwa kazi za wanasanii wetu wa nyumbani ambazo zilinigusa nilipokuwa huko hivi karibuni.Nilichopenda kwenye hii ya kwanza,"Nangoja ageuke" ya MwanaF.A. ft AY, ni mchanganyiko wa midundo na video yenyewe.Ushiri… Read More
BONGOFLAVA IKO I.C.U?Hivi msomaji wangu mpendwa ulishaota ndoto ngapi za "ningependa kuwa flani" kabla hujafika hapo ulipo?Kwangu ni 3,moja naendelea kuhangaika nayo,na kwa Mapenzi yake Mola+jitihada zangu,natarajia kuitimiza miezi michache ijayo… Read More
Fridstyle Friday: Week 7 with KALAPINA (VIDEO)Kalapina on politics, Freemasons, war, peace, Rostam, Drugs etc.More from Kalapina and kikosi http://www.reverbnation.com/tunepak/3387426Click the banner titled CHEUSI DAWA TV (FID-Q) (see the sidebar) for previous episodes o… Read More
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Dah!! Ni kweli kuna wasanii na waimbaji. Kuna wanaoimba kwa kuwa wanataka kusisika na wanaosikika kwa kuwa wanaimba. Kuna haja ya TBS kuweka viwango vya muziki.
ReplyDeletePengine hii ndio hatua ya mwanzo kuelekea mafanikio, lakini mbona wana-get worse and worse everyday? Wanajipoteza katika harakati zao za kujitafuta. Wanakuwa kama mhogo uliopikwa ukagoma kuiva na unakuwa hauliki. Ama wabakie wabichi ama wakijipika waive, lakini kuwa katikati ya ubichi na kuiva hawajulikani wako vipi na HAWALIKI. Namaanisha hawasikilizi.
Ni mtazamo wangu tu