Saturday, 26 June 2010

Sijui ni ukosefu wa mawasiliano au uzembe tu,au pengine ni mkakati wa makusudi wa kutoa kauli zinazotofautiana ili baadaye iwe rahisi "kuziruka kimanga",lakini ni dhahiri kuwa mmoja kati ya viongozi hawa anatudanganya.Wakati Waziri wa Sheria na Katiba Mathias Chikawe akirejea ahadi kama ya mwaka 2005...

Monday, 21 June 2010

Zaidi ya shilingi bilioni 150 zimefisadiwa kutoka katika Mfuko wa Maendeleo ya Elimu ya Msingi,na hiyo ni kwa mwaka juzi (2008) pekee. Kiasi hicho kinajumuisha shilingi bilioni 71.2 zilizotengwa katika mwaka wa fedha 2007/8 lakini hazifika mahala zilipokusudiwa.Utafiti unachofuatilia mwenendo wa matumizi...

Sunday, 20 June 2010

RAIS Jakaya Kikwete ameliponda Shirika la Haki Elimu kwa kusema ni waongo, wazushi na wanafiki.“ Ukweli siku zote hujitenga na uongo Haki Elimu ni waongo, wazushi na wanafiki wanapodiriki kuwatangazia umma wa watanzania eti kuna uhaba wa nyumba za walimu zipatazo 22,000 nchini na kwamba Serikali ya...

Saturday, 19 June 2010

Instead of counting candles,Or tallying the years,Contemplate your blessings now,As your birthday nears.Consider special peopleWho love you, and who care,And others who’ve enriched your lifeJust by being there.Think about the memoriesPassing years can never mar,Experiences great and smallThat have made...

Friday, 18 June 2010

ZIARA ya Rais Jakaya Kikwete mkoani Kigoma jana ilipata mushkeli baada ya gari moja kupinduka wakati msafari wake ukitokea Kibondo kuelekea Kigoma Mjini.Rais Kikwete, ambaye msafara wake umekuwa ukikumbwa na matukio ya hatari katika muda wa wiki tatiu, alikuwa anaenda Kigoma Mjini kuhitimisha ziara...

Thursday, 17 June 2010

Desemba 9 mwakani,Tanzania yetu itatimiza miaka 50 tangu ipate uhuru.Pengine tarakimu 50 inapunguza uzito,kwahiyo ni vema kubainisha kuwa umri huo ni sawa na NUSU KARNE (herufi kubwa kuonyesha msisitizo).Wakati umri huo wa mtu mzima ungepaswa kuwa habari njema,hali ni tofauti kwetu.Tulowakabidhi dhamana...

Wednesday, 16 June 2010

Having lived in Scotland for nearly a decade,I quite understand why a Scottish football legend is not happy with the inclusion of foreign born players in national teams.The Scots are so proud of their identity that some of their sentiments could easily be mistaken for racism.However,although one could...

Tuesday, 15 June 2010

Wakati Waingereza wanasubiri Bajeti ya Dharura ya Serikali mpya iliyoingia madarakani hivi karibuni,watawala hapa wameweka bayana kuwa baadhi ya hatua zitakazochukuliwa kurekebisha uchumi zitapelekea machungu kwa wananchi wengi.Hakuna haja ya kudanganyana kwa vile hata wangeficha ukweli huo,muda wa...

Japo mie si mchambuzi mzuri wa soka lakini naamini utaafikiana nami kuwa Fainali za Kombe la Dunia huko Afrika Kusini zimeendelea "kuboa" wapenzi wa soka.Majuzi tumeshuhudia Waingereza walivyopelekeshwa na vijana wa Obama,huku kipa wao akiingia kwenye vitabu vya historia kama kituko cha mwaka.Kati ya...

Sunday, 13 June 2010

Picha na Habari (bonyeza hapa uisome) kwa Hisani ya MICH...

Thursday, 10 June 2010

Uandishi wa blogu si jambo rahisi kama inavyodhaniwa na wengi.Na ni jambo gumu zaidi kwa akina sie tunaoelemea zaidi katika kuandisha mambo yanayogusa maslahi ya mafisadi na vibaraka wao.Kwa mfano mara kadhaa nimekuwa nikipata comments zenye matusi ya kila aina kutoka kwa baadhi ya wasomaji.Huwa siyachapishi...

Wednesday, 9 June 2010

WAKATI bajeti ya Serikali inasuasua kutokana na uhaba wa fedha za ndani, familia moja ya Dar es Salaam inayomiliki kampuni inayojihusisha na biashara ya bidhaa za nyumbani imejiingiza katika uwakala wa forodha kwa staili ya aina yake ikiwa ni pamoja na kujikita katika kuwasaidia wafanyabiashara wengine...

Tuesday, 8 June 2010

Rais Kikwete akikabidhi zawadi ya kinyago kwa mchezaji wa Brazil,Kaka,huku mtoto wa Rais,Ridhiwani Kikwete (kulia kwa Rais),akishuhudia na "tabasamu la haja" (Picha kwa hisani ya Ankal Michuzi)Niite mzandiki,mkosoaji wa kila kitu,au hata mpuuzi.Yote sawa.Lakini haihitaji upeo hata wa mtoto mchanga kutambua...

Monday, 7 June 2010

Kuna nyakati napata shida kuzielewa kauli za Rais Jakaya Kikwete.Nafahamu kuwa yeye ni mwanadamu kama mwingine,kwahiyo anaweza kufanya makosa ya kibinadamu.Lakini kwa vile nyingi ya hotuba zake huandaliwa na wasaidizi wake,nafasi ya makosa ya kibinadamu inapaswa kuwa ndogo.Huko nyuma tumeshasikia kauli...

Friday, 4 June 2010

Mwezi Februari mwaka huu,Rais wa Kampuni ya Toyota (ya Japan) Akio Toyoda aliomba rasmi msamaha kwa wateja wa kampuni hiyo nchini Marekani ambao walikumbwa na matatizo ya kiufundi kwenye magari yao.Mwezi kama huo mwaka jana,mabosi wa mabenki ya RBS na HBOS ya hapa Uingereza nao waliomba msamaha kwa...

Thursday, 3 June 2010

Well,well...I'm not that good when it comes to fashion,but poor as I might be,the Japanese Prime Minister's sense of fashion is SIFURI,ZILCH,ZERO...Oh,no.He doesn't even deserve a zero.Let's rephrase the sentence...his sense of fashion is non-existent.He doesn't have any.Candy has voluntarily offered...

Wednesday, 2 June 2010

A come back to the Industry after almost 25 years, Anna Luks, a mother of two boys, is now revealing to us, a glimpse of her collection called Colour Explosion. Anna will have much to talk about her work very soon. Luks will show her debut collection in July, date to be confirmed.This photo shoot was...

Categories

Unordered List

Sample Text

Blog Archive

Labels

Follow Us on FaceBook

Popular Posts

Recent Posts

Recent Comments

Recent Premium Themes

Your Links

Flickr

Powered by Blogger.

Blog Archive

Followers

Download

Your Links

Blogger Tricks

Popular Posts

Recent Posts

Text Widget