Kuna wagombea watatu wenye kuchuana vikali Igunga; Dr Peter Kafumu ( CCM), Leopard Mahona ( CUF) na Joseph Kashindye ( CHADEMA). Blogu yako ya Jamii Shirikishwa, Mjengwablog, imekuandalia Pima- Maji ili utoe maoni yako kwa kupiga kura. Zimebaki siku sita za kupiga kura. Swali ni hili; Je, ni nani ataibuka kidedea Igunga? Piga kura juu kulia kwenye http://mjengwa.blogspot.com
Monday, 5 September 2011
05:45
Unknown
Igunga, Mjengwa
No comments
Related Posts:
Tafadhali Piga Kura Kwenye Pima-Maji ya Mjengwa Kuhusu Uchaguzi Mdogo wa IgungaKuna wagombea watatu wenye kuchuana vikali Igunga; Dr Peter Kafumu ( CCM), Leopard Mahona ( CUF) na Joseph Kashindye ( CHADEMA). Blogu yako ya Jamii Shirikishwa, Mjengwablog, imekuandalia Pima- Maji ili utoe maoni yako kwa ku… Read More
Pima-Maji ya Mjengwa kuhusu Uchaguzi Mdogo IgungaNdugu zangu, Ndani ya siku tatu za kupiga kura kwenye Pima-Maji ya Mjengwa.blogspot.com watu 165 wameshatumbukiza kura zao. Matokeo mpaka dakika hii ni Joseph Kashindye wa CHADEMA anayeongoza kwa kura 116 akiwa amejinyakulia … Read More
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment