Nafahamu unaweza usinielewe kwenye post hii lakini naomba niweke bayana kuwa niko radhi kutofautiana nawe msomaji wangu mpendwa.Kwa tutakaoafikiana,all I can say is POA.Nimeguswa na habari kuwa jana Makamu wa Rais,Dkt Shein, amezindua mbio za mwenge.Lengo la makala hii ni kuibua mjadala kuhusu suala...
Sunday, 30 May 2010

Ukisoma habari zifuatazo unaweza kukubaliana nami kuwa AKUTUKANAE HAKUCHAGULII TUSI.Katika habari ya kwanza tunashuhudia Waziri wetu wa Fedha akiongea vitu ambavyo vinaleta maana tu vikiangaliwa kwa maadnishi lakini sio mtaani.Na katika habari ya pili,tunashuhudia uzembe uliozoeleka wa kitokee kwanza...
19:02
Unknown
£OVELY GAMBLE
No comments
Tawala,viongozi na wafanyakazi wa African Star,Afro Euro Events Management, Buzzie Production, Manamba Studio na Urban Pulse. Wanatoa shukurani zao za dhati kwa Watanzania wote waliojitokeza usiku wa jana 29/05/2010 kwenye onyesho maalum la ‘£OVELY GAMBLE’ kuchangia watoto wanaoishi na vijirusi vya...
Saturday, 29 May 2010
02:12
Unknown
ADELINA MAPANGO
2 comments

Mama Mpendwa,Ilikuwa saa 4.30 usiku,tarehe 29 Mei 2008 ulipotutoka.Nakumbuka nilipopigiwa simu kufahamishwa kuwa Bwana Amekutwaa,nilidhani ni ndoto tu.Japo ulikuwa umepoteza fahamu kwa zaidi ya miezi mitatu kabla ya kukumbwa na mauti sote tuliamini kuwa siku moja ungeamka ukiwa mzima.Mama,japo leo ni...
01:23
Unknown
£OVELY GAMBLE
No comments

ONYESHO MAALUM LA FILAMU £OVELY GAMBLE TAREHE 29TH OF MAY 2010. KARIBUNI KUCHANGIA YATIMA WALIOATHIRIKA NA UKIMWI TANZANIA NA JUMUIA YETU YA TANZANIAVILEVILE KUTAKUWA NA CHAKULA, VINYWAJI, BURUDANI YA MIZIKI NA VICHEKESHO.NYOTE MNAKARIBISHWA NA KUFIKA KWENU NDIO KUFANIKISHA SHUGHULI...
Friday, 28 May 2010
Thursday, 27 May 2010
01:49
Unknown
£OVELY GAMBLE
No comments
Baraka Baraka ndio mhariri (Editor) wa £ovely Gamble. Huyu Bwana ni Photograher, Director na Producer. Amesha fanya kazi kwenye uzalishaji wa vipindi vingi ambavyo vimeshaonyeshwa katikaTelavisheni tofauti Uingereza na Ulaya kama vile OBE TV, MATV na TVT (ZE COMEDY London Special). Baraka pia ni mkali wa na advertising shot films kama vile ‘KARMA’ na ‘The ONE’ vilevile amesha Direct documentary programmes za kisiasa kama ‘A PATH TO WAR’ na za...
01:42
Unknown
£OVELY GAMBLE
No comments

TANGAZO MAALUMKWA WAKAZI WA WA UGHAIBUNIKUTOKA URBAN PULSE NA BUZZIE PRODUCTIONMashabiki na Wapenzi wa filamu wa Kitanzania tunapenda kuwataarifu kuwa tumepokea malalamiko yenu kuhusu ubora DVD za filamu ya £ovely Gamble. Kwamba zina giza na sauti si bora na picha zinacheza....
Wednesday, 26 May 2010
09:38
Unknown
£OVELY GAMBLE
No comments
Rennison Okenwa ndio kichwa kilicho Direct movie £ovely Gamble. Rennison-au maarufu kama 'Renny'- ni ndugu yetu kutoka Kenya. Huyu jamaa ndio aliyekuja na wazo la kue-xperiment namna ya kutumia picha na muziki kuelezea hadithi. Renny ni msomi wa uzalishaji wa vipindi vya television aliyehitimu katika chuo kikuu cha Thames Valley. Renny ameshatengeneza documentary programmes mbili kuhusu vifaa vya hospitali na kuhusu matatizo ya magonjwa ya akili....
Monday, 24 May 2010
Kijana ambaye yuko kwenye £ovely Gamble anaitwa Kisiri Elly anacheza part ya Frank. Huyu actor chipukizi wa Kitanzania ambaye ameingia katika fani ya usanii wa filamu. Kisiri amecheza filamu hii na staa za kitaaluma unaweza kufikiri ni mzoefu wa siku nyingi. Hivi tuzungumziavyo kesha tafutwa na Nollywood na ataanza production ya 'Man Alone' itakayotengenezewa Lagos na London shooting itaanza August mpaka September. Tumfagilie mbongo huyu ambaye...
00:54
Unknown
£OVELY GAMBLE
No comments
Binti mdogo na mrembo ambaye yuko kwenye £ovely Gamble anaitwa Ann-Lyyn Kapinga anacheza part ya Jasmeen. Huyu binti ni actress wa ukweli kwa sababu anasomea fani hii na huwa ana perform kwenye theatres tofauti za South of England.Mahojiano haya yamefanywa na Watayarishaji wa kipindi cha ALL ABOUT WOMEN ambacho presenter wake naye ni Dada wa kibongo aitwaye Tina George, Kipindi hiko hurushwa kwenye vituo vya television vya...
Sunday, 23 May 2010
16:00
Unknown
LIYUMBA
No comments

Hatimaye kesi inayomkabili aliyekuwa Mkurugenzi wa Benki Kuu,Amatus Liyumba,inafikia ukingoni leo ambapo atasomewa hukumu.Japo zamani hizoo nilishawahi kuwa 'mnajimu/mtabiri wa kizushi' nilipoandikia magazeti ya Sanifu,Kasheshe na Komesha huku nikijiita 'Ustaadh Bonge' (na baadhi ya watu walikuwa wakiamini...
Saturday, 22 May 2010

MMOJA wa mawaziri wa serikali ya Rais Jakaya Kikwete anatuhumiwa kushinikiza kuachiwa kwa dhamana ndugu wawili waliokamatwa na polisi kwa tuhuma za kukutwa na viungo vinavyosadikiwa kuwa vya binadamu.Taarifa hizo za waziri huyo, ambaye jina lake tunalihifadhi kwa sasa, kuhusishwa katika kashfa hiyo,...
Friday, 21 May 2010

Katika siku za hivi karibuni,Rais Jakaya Kikwete amekuwa akitoa kauli ambazo kwa namna flani zinaweza kupelekea uvunjifu wa amani.Sote tunakumbuka hotuba yake kali aliyotoa mbele ya walioitwa 'wazee wa jiji la Dar es Salaam' ambapo baadhi ya maneno yake yanaweza kabisa kuwatia jeuri wanadola wanapoagizwa...
12:23
Unknown
No comments

ONYESHO MAALUM LA FILAMU £OVELY GAMBLE TAREHE 29TH OF MAY 2010. KARIBUNI KUCHANGIA YATIMA WALIOATHIRIKA NA UKIMWI TANZANIA NA JUMUIA YETU YA TANZANIA. WATOTO HAWA WANAANGALIWA NA TANZANIA MITINDO HOUSE INAYOENDESHA SHUGHULI ZAKE TANZANIA. JUMAMOSI TAREHE...
Thursday, 20 May 2010

Nadhani unamfahamu Christina Aguillera,na kama unamfahamu basi ni dhahiri utakuwa unakumbuka 'singo' yake ya kwanza kabisa Genie in a Bottle (Kama huukumbuki basi cheki video hii hapa).Ushaikumbuka?Well,lengo la makala hii si kumjadili mwanamuziki huyo au wimbo huo uliovuma sana.Nacho-focus hapa ni...
Tuesday, 18 May 2010
19:01
Unknown
CCM
8 comments
Picha kwa Hisani ya MichuziNyuso zao zinasuta nafsi zao.Lakini hii ndio hali halisi ya Tanzania yetu.Pamoja na madudu yooote yanayoendelea kufanywa na CCM lakini Watanzania wengi wanaendelea kuwa usingizini na kuamini kuwa hakuna maisha pasipo CCM.Ungetarajia tabaka la chini (ambalo ndio mtaji mkubwa...
Subscribe to:
Posts (Atom)