Tuesday, 11 May 2010
Gordon Brown has just announced on live tv that he is stepping down as the Prime Minister.It's now clear that the next PM shall be David Cameron.
Related Posts:
Kabineti Mpya UK Yajipunguzia Mshahara,Wahisani Wetu Nao Waikaba BajetiKuna wakati najiuliza kwanini sie masikini wa kutupwa ni hodari sana kwenye matumizi ya ovyo ovyo.Moja ya kumbukumbu za serikali ya awamu ya nne ilikuwa kuongeza mishahara ya wabunge licha ya hali yetu mbovu kabisa ya uchumi.… Read More
Cameron Atembea Kwa Miguu Kwenda Kuzindua Bunge JipyaWatawala wetu waache magari yao ya kifahari wachekwe?Nchi tajiri lakini viongozi wanaishi kawaida,lakini sie masikini na ombaomba wa kutembeza bakuli viongozi wetu wanaishi kifahari kama wafanyabiashara matajiri.… Read More
Waziri Mkuu Cameron 'Aminywa' Kwenye Foleni Barabarani,Akataa Eskoti ya PolisiLabda na watawala wetu watakuwa na la kujifunza. Habari kamili bonyeza HAPA.… Read More
'Ndoa ya Mkeka' MajaribuniNdoa ya Mkeka.Haya ni mambo ya pwani zaidi kuliko 'bara'.Kule kwetu Ifakara hakuna vitu kama hivyo,lakini maeneo kama Tanga,Dar,Bagamoyo,nk ndoa za mkeka 'zinakula sahani moja' kwa umaarufu kama ndoa 'za kawaida'.Actually,ili… Read More
BREAKING NEWS: Brown Resigns as Prime Minister,Cameron Next PMGordon Brown has just announced on live tv that he is stepping down as the Prime Minister.It's now clear that the next PM shall be David Cameron.… Read More
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Kwa wenzetu hili linawezekana.
ReplyDeleteBongo hata kama Rais angeharibu kwa kiwango kinachozidi tafsiri ya ubovu, hawezi kuwapo raia wa kumwajibisha na akawajibika. Na yeye kwa kutambua kuwa asilimia sabini na tano ya watu wake wanafuata mwelekeo wa upepo wa wajanja wasiozidi asilimia 15, basi anachoweza kukifanya ni kuimarisha idara ya propaganda za uwongo na kweli kukebehi wananchi katika kasuala ya msingi.
Nadhani utafika wakati ambapo na Bongo tutaanza kusikia maamuzi kama haya kwa Marais wanaoshindwa kukidhi matarajio ya wapiga kura.
Huu mtindo wa kujitetea kwa mamabo ambayo ni wazi, tukikwepa kuchukua hatua kwa kulinda heshima binafsi hauwezi kutusaidia.
Tumwige Brown.