Tuesday, 18 May 2010
13:45
Unknown
DAVID CAMERON
2 comments
Watawala wetu waache magari yao ya kifahari wachekwe?Nchi tajiri lakini viongozi wanaishi kawaida,lakini sie masikini na ombaomba wa kutembeza bakuli viongozi wetu wanaishi kifahari kama wafanyabiashara matajiri.
Related Posts:
Kabineti Mpya UK Yajipunguzia Mshahara,Wahisani Wetu Nao Waikaba BajetiKuna wakati najiuliza kwanini sie masikini wa kutupwa ni hodari sana kwenye matumizi ya ovyo ovyo.Moja ya kumbukumbu za serikali ya awamu ya nne ilikuwa kuongeza mishahara ya wabunge licha ya hali yetu mbovu kabisa ya uchumi.… Read More
'Ndoa ya Mkeka' MajaribuniNdoa ya Mkeka.Haya ni mambo ya pwani zaidi kuliko 'bara'.Kule kwetu Ifakara hakuna vitu kama hivyo,lakini maeneo kama Tanga,Dar,Bagamoyo,nk ndoa za mkeka 'zinakula sahani moja' kwa umaarufu kama ndoa 'za kawaida'.Actually,ili… Read More
BREAKING NEWS: Brown Resigns as Prime Minister,Cameron Next PMGordon Brown has just announced on live tv that he is stepping down as the Prime Minister.It's now clear that the next PM shall be David Cameron.… Read More
OBAMA'S VIEW OF DAVID CAMERON:A LIGHTWEIGHTAccording to tomorrow's New Statesman, Barack Obama was unimpressed by his encounter with David Cameron earlier this year and commented: "What a lightweight!"According to James Macintyre's report, Cameron's attempt to stress … Read More
Waziri Mkuu Cameron 'Aminywa' Kwenye Foleni Barabarani,Akataa Eskoti ya PolisiLabda na watawala wetu watakuwa na la kujifunza. Habari kamili bonyeza HAPA.… Read More
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
MMbio za sakafuni huisha ukingoni
ReplyDeleteViongozi wa watanzania hawawezi kufanya hivyo kwa sababu ya mazingira waliotegeneza kutokana uongozi kuwa unabariki rushwa hivyo kupelekea huku mtaaani kwetu kuwa siyo sehemu ya amani hivyo wanaogopa kushambuliwa na wananchi wavunja sheri kama vile wezi na waporaji nk...Ingawa sababu kuu za hao wahaalifu wadogo inatokana na wao kuwalinda na kujilinda wahaalifu wakubwa
ReplyDelete