Sunday, 18 March 2012


Nimetumiwa hii nami naiwasilisha kama ilivyo:




Ndugu Blogger, 
Husika na Kichwa cha Habari hapo juu, kwa masikitiko makubwa chanzo chetu cha ripoti kimepokea Habari ya kwamba kuna mchakato unafanyika wa kuweka usiku wa Bloggers Tanzania Lakini cha kushangaza sana usiku huo utakuwa ni usiku wa ubaguzi pia kwa maana watakao alikwa ni Bloggers wakubwa tuu wa Tanzania sasa tujiulize kwa umakini sana, Kwanza ni wakina nani hao ambao ndio wanazania kuwa ni bloggers wakubwa Tanzania, Pili tujiulize hao wanaojiita kuwa ni Mabloga wakubwa na maarufu tanzania wamechukua kigezo gani? 

Tufike mahali kwamba nyie mnao jiita bloggers wakubwa hapa nchini msiwadharau na kuwatenga hao mabloga wadogo, inasikitisha sana badala ya kuwasaidia nyie mnawakandamiza. kama mpo juu mpo juu tuu hakuna wa kuwashusha chini basi wasaidieni na hao mabloga wadogo wadogo.

Na mwisho kwa niaba ya Timu nzima inayo endelea kufuatilia kwa umakini mchakato mzima wa umoja wa bloggers Tanzania na kufuatilia kwa ukaribu na umakini vikao vya Siri na vya chini vinavyo endelea kwa ajili ya huo usiku wa bloggers, tunapenda kusema kwamba kama mpo hapa ni bora muwashirikishe na wengine email ndio hizi hizi za bloggers. Tusiwe na roho ya kwanini sote ni watanzania.

Imetolewa na 

Ripota wenu


Related Posts:

  • Kutoka kwa Dada Koero Kundi: UJIO WANGUNi matumaini yangu kuwa muwazima na mnaendelea na majukumu yenu ya kujenga Taifa au ustawi wa familia zenu popote mlipo.Ni kitambo kidogo nilitoweka katika ulimwengu wa Kublog, na hiyo ilitokana na majukumu yangu ambayo yalin… Read More
  • Sarah,the Brains Behind Angalia BongoWiki hii tumeadimisha siku ya wanawake duniani.Na kesho ni siku ya mama zetu.Ni kipindi mwafaka cha kungalia mchango wa jinsia ya kike katika ngazi ya familia hadi taifa.Tukubali tusikubali,dunia imeendelea kutawaliwa na mfum… Read More
  • Ukiona Mtu Anajikuna Basi Ujue AnawashwaUandishi wa blogu si jambo rahisi kama inavyodhaniwa na wengi.Na ni jambo gumu zaidi kwa akina sie tunaoelemea zaidi katika kuandisha mambo yanayogusa maslahi ya mafisadi na vibaraka wao.Kwa mfano mara kadhaa nimekuwa nikipat… Read More
  • Usiyoyajua Kuhusu Blogu za KitanzaniaKatika moja ya maeneo machache ambayo Watanzania tumepiga hatua ya kuridhisha ni fani ya kublogu.Ni vigumu kufahamu idadi kamili ya mabloga wa-na blogu za- Kitanzania (ndani na nje ya nchi) lakini haihitaji sensa kutambu… Read More
  • My Honest Reply to the So-called "Meya wa Mzumbe"You posted the following comment on this blog.I have tried to reply on your blog but it doesn't seem to work.I know my reply will offer you a rare chance of publicity,but,well,there's nothing I could do about that.Perhaps tha… Read More

0 comments:

Post a Comment

Categories

Unordered List

Sample Text

Blog Archive

Labels

Follow Us on FaceBook

Popular Posts

Recent Posts

Recent Comments

Recent Premium Themes

Your Links

Flickr

Powered by Blogger.

Blog Archive

Followers

Download

Your Links

Blogger Tricks

Popular Posts

Recent Posts

Text Widget