Tamko la Kihistoria na Hali ya Kuhudhunisha NchiniFrom: Andrew Bomani Subject: TAMKO LA KIHISTORIA NA HALI YA KUHUZUNISHA NCHINI!Date: Monday, July 25, 2011, 3:26 AMNdugu msomaji,Kufuatia ombwe la uongozi la kutisha nchini ambalo karibu kila Mtanzania anakiri ndiyo tatizo ma…Read More
Jini Ndani ya Chupa...Likitoka LimetokaNadhani unamfahamu Christina Aguillera,na kama unamfahamu basi ni dhahiri utakuwa unakumbuka 'singo' yake ya kwanza kabisa Genie in a Bottle (Kama huukumbuki basi cheki video hii hapa).Ushaikumbuka?Well,lengo la makala hii si…Read More
KAMPENI ZA UCHAGUZI MKUU 2010 ZAANZA "RASMI"Na Lilian Lugakingira, BukobaCHAMA cha Mapinduzi (CCM) kimeanza safari ndefu ya kumnadi Rais Jakaya Kikwete ili awe mgombea pekee katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2010, na tayari wilaya ya Bukoba Mjini imetoa hundi ya Sh1milioni…Read More
Hawa naona wanaweza kujitokeza kifua mbele na kujiita vijana wa Tanzania, subiri baba yako aondoke madarakani halafu tuanze kuwadai pesa za watanzania mlizotumia kufanyie kampeni za kifamilia. Wenyewe kwa kauliza zao hizi za kijinga ndiyo kwanza wanatakiwa kupelekwa mirembe.
Malkiory umenena. Wanapaswa kusoma kurasa kutoka kwenye kitabu cha yaliyotokea Tunisia hivi karibuni. Kama watunisia wangemkamata rais au mkewe wanayemchukia kama sisi na Anna Mkapa na Salma wangemchoma moto kama kibaka. Hawa washenzi wanajichanganya mara Dowans isilipwe mara Sitta na Mwakyembe wakitoe. Unashindwa kuelewa hata hizo elimu wanazosema kuwa nazo kama hawakughushi kusema ukweli. UVCCM wanajaribu ku-pre-empty ambacho kinapangwa na baba zao. Kukataa Dowans kulipwa ni kukataa Kikwete asitawale Tanzania. Kama wao wanasema mawaziri wanaopingana wakitoe wao mbona wanapingana na chama chao na hawakitoi
Hawa uvccm... hawajui hata namna ya kujenga hoja...wanachanganya mambo tu...umbea...hoja ...jifunzeni kuandika kwanza.
ReplyDeleteHawa naona wanaweza kujitokeza kifua mbele na kujiita vijana wa Tanzania, subiri baba yako aondoke madarakani halafu tuanze kuwadai pesa za watanzania mlizotumia kufanyie kampeni za kifamilia. Wenyewe kwa kauliza zao hizi za kijinga ndiyo kwanza wanatakiwa kupelekwa mirembe.
ReplyDeleteMalkiory umenena. Wanapaswa kusoma kurasa kutoka kwenye kitabu cha yaliyotokea Tunisia hivi karibuni. Kama watunisia wangemkamata rais au mkewe wanayemchukia kama sisi na Anna Mkapa na Salma wangemchoma moto kama kibaka. Hawa washenzi wanajichanganya mara Dowans isilipwe mara Sitta na Mwakyembe wakitoe. Unashindwa kuelewa hata hizo elimu wanazosema kuwa nazo kama hawakughushi kusema ukweli.
ReplyDeleteUVCCM wanajaribu ku-pre-empty ambacho kinapangwa na baba zao.
Kukataa Dowans kulipwa ni kukataa Kikwete asitawale Tanzania. Kama wao wanasema mawaziri wanaopingana wakitoe wao mbona wanapingana na chama chao na hawakitoi