Sunday, 16 January 2011
22:23
Unknown
LAWRENCE MASHA
2 comments
Related Posts:
MWANAHALISI: WAZIRI MASHA AGONGANISHA SERIKALI NA UJERUMANWAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Lawrence Masha ameingiza serikali katika mgogoro mkubwa na wafadhili kutokana na madai ya matumizi mabaya ya madaraka, MwanaHALISI limeelezwa.Masha anatuhumiwa kupendelea raia wa Ubelgiji, Br… Read More
WAZIRI MASHA MGUU NDANI MGUU NJE Habari HII ni kwa mujibu wa toleo la wiki hii la jarida la Raia Mwema.Bingirika nalo kwa habari za uhakika sambamba na makala zilizokwenda shule.… Read More
Uraia wa Nchi Mbili: Nani Anadanganya Kati ya Masha na Membe?Demokrasia katika jamii isiyojali utawala bora ni sawa na kufukia makaratasi ardhini kwa matarajio ya kuota mmea wenye matunda ya noti.Ni mithili ya kualika timu ya Taifa ya Brazil kwa mabilioni ya shilingi kisha mechi husika… Read More
Oh Poor Lawrence Masha!!!! (VIDEO)… Read More
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Unajua L.Masha angeyasema maneno haya enzi zile ambapo kulikuwa hakuna vinakili kumbukumbu kama hivi,ingekuwa ni rahisi sana kuja kusema kwamba "amenukuliwa vibaya".Uwezekano huo ni mdogo sana hivi sasa.Nadhani kilichotokea hapa ni over confidence na pia kutosoma alama za nyakati.
ReplyDeleteInaweza kuwa kweli Jeff, lakini pia inawezekana Masha aliwaziba midomo watu wasipiganie hiyo nafasi (alicheza foul play). Alivyoona watu hawakumbishia kwa maneno akafikiri ameshawateka kwa vitendo pia. Hapa naona watu wa-Nyamagana wametumia zaidi vitendo kuliko maneno. The more I see the tape the more am proud of those people man! That is a slap in the face for sure!!! Anaambiwa aseme maendeleo aliyoyafanya anazunguka swali. Tanzania sijui inatoa wapi watu kama hawa.
ReplyDelete