Katika makala yangu kwenye toleo la wiki hii la jarida mahiri la Rais Mwema nazungumzia kujihusisha kwangu na uandishi wa makala magazetini,ikiwa ni pamoja na faida na hasara zake kwangu.Kadhalika nawasilisha vilio vya wanajamii ambao wametelekezwa na watawala.Pamoja na makala hiyo ( BONYEZA HAPA KUISOMA) ni habari na uchamuzi mahiri katika jarida hilo maridhawa la RAIA MWEMA
Thursday, 14 April 2011
08:43
Unknown
RAIA MWEMA
No comments
Related Posts:
Makala yangu Katika RAIA MWEMA Toleo la Agosti 1: "Siasa za Mahaba Zitatumaliza"KUNA msemo mmoja ninaopenda sana kuutumia kusisitiza hoja katika maongezi, ambao unasema, “Ili uweze kulielewa giza inabidi utoke au uende katika mwanga, na kinyume chake (vice versa).”Huwa ninautumia msemo huu kubainisha ‘fa… Read More
Makala yangu katika RAIA MWEMA Toleo la Agosti 15: "Akili zetu zimefungwa, kisha funguo imepotea"“TUMEROGWA na aliyeturoga naye karogwa, kisha kafariki.”“Hapana, hatujarogwa ila nadhani bongo zetu zimefungwa, na funguo zimetumbukia chooni.”Hizo ni baadhi ya kauli zinazoanza kuzoeleka masikioni mwa Watanzania wanapojadili… Read More
Makala yangu katika Raia Mwema Toleo la Agosti 8 (Haipo Mtandaoni)Kwa sababu zilizo nje ya uwezo wangu,makala yangu katika jarida la Raia Mwema toleo la Jumatano iliyopita (Agosti 8, 2012) haikuwekwa mtandaoni japo ipo gazetini.Kwa faida ya wasomaji,nimelazimika kuiweka hapa (inaweza kuwa n… Read More
Makala yangu ktk Raia Mwema Toleo la July 25: "Vipi Tuwe na Waheshimiwa Wasiojiheshimu?"Mara nyingi kwa wenzetu huku nchi za Magharibi kila jambo linapotokea watu wa kada mbalimbali hujihangaisha kusaka maelezo yanayojitosheleza kuhusu chanzo cha tukio husika na jinsi linavyoweza kuzuiwa mbele ya safari.Ukiangal… Read More
Makala yangu ktk RAIA MWEMA Toleo la Julai 18: "Naikumbuka Tabora Boys,Najivunia Uzalendo Wangu"Wanafunzi wa Sekondari ya Wavulana Tabora wakiwa katika mafunzo ya kivita katika mapori ya Uchama,wilayani Nzega.Picha kwa hisani ya Tabora School Facebook GroupNaikumbuka Tabora Boys,Najivunia Uzalendo WanguNIANZE makala hii… Read More
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment