Thursday, 7 April 2011
03:14
Unknown
RAIA MWEMA
No comments
Makala yangu yawiki hii katika Jarida mahiri la Raia Mwema toleo la Jumatano April 6,2011 inaangalia ahadi za Rais Jakaya Kikwete na jeuri za Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM).Pamoja na makala hiyo (BONYEZA HAPA KUISOMA) ni habari na uchambuzi motomoto ndani ya jarida hili maridhawa kabisa la Raia Mwema.
Related Posts:
KWA HUDUMA HIZI TUTABAKI NYUMA MILELE (MAKALA NDANI YA GAZETI LA RAIA MWEMA)Huduma za afya hapa nyumbani ni duni na hazileti matumaini ya Maisha Bora kwa Kila Mtanzania (by the way,tangu nifike hapa sijaona ile hamasa niliyoikuta 2005 kuhusiana na kauli-mbiu hiyo.Sijui imekufa kifo cha asili au imepo… Read More
WATANZANIA WANAFURAHIA UFISADI? (MAKALA NDANI YA GAZETI LA RAIA MWEMA)Makala yangu katika toleo la wiki hii la gazeti la Raia Mwema inajaribu kudadisi chanzo cha ufisadi huko nyumbani.Je tatizo ni mfumo unaozaa na kulea ufisadi au tatizo ni watu wanaosabaisha ufisadi na kuishia kutengeneza mfum… Read More
KISHA TUWASAKE MAFISADI WA NGONO (MAKALA NDANI YA "RAIA MWEMA")Makala yangu katika toleo la wiki hii la gazeti la Raia Mwema inatanua wigo wa uchambuzi kuhusu suala la ufisadi na kuangalia eneo jingine nyeti la ufisadi wa ngono.Umeshawahi kujiuliza ma-miss wangapi wanaletwa jijini Dar ku… Read More
UKABILA NA RICHMOND: TUSISUBIRI MAJI YAZIDI UNGA (MAKALA NDANI YA GAZETI LA RAIA MWEMA)Makala yangu ndani ya toleo la wiki hii la gazeti la Raia Mwema inatoa lawama kwa wale ambao baada ya kutajwa kwenye Ripoti ya "Tume ya Mwakyembe" wamekuja na ngonjera za ukabila,eti kuna mpango wa ethnic cleaning dhidi ya ka… Read More
TANZANIA YENYE HUDUMA BORA INAWEZEKANA (MAKALA NDANI YA GAZETI LA RAIA MWEMA) Katika makala yangu ndani ya toleo la wiki hii la gazeti la Raia Mwema,nazungumzia suala zima la huduma bora.Makala inaanza kwa kuondoa fikra za "u-tambarare" wa maisha ya ughaibuni,zinazochochewa na taswira za runinga na ma… Read More
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment