Natumai Muwazima wa Afya Njema na Happy Eid kwa Ndugu zetu waislam wote hapo kazini, Samahanini sana kwa usumbufu tunaomba Msaada wenu mtusaidie kutoa taarifa hiyo hapo chini ya juu ya mabadiriko ya jina la website yetu na pia jina la Radio. Natanguliza Shukkrani zangu. Kazi Njema.TAARIFA YA MABADILIKO...
Wednesday, 31 August 2011
Monday, 29 August 2011
16:27
Unknown
EWURA
No comments

Raymond KaminyogeMAMLAKA ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (Ewura), imeshusha bei ya mafuta kuanzia leo.Kwa hatua hiyo, bei ya ukomo ya petroli kwa Mkoa wa Dar es Salaam sasa itakuwa Sh2,070, huku dizeli ikiwa Sh1,999 na mafuta ya taa Sh1,980. Bei ya ukomo wa bidhaa hiyo itatofautiana kulingana...
Thursday, 25 August 2011
17:17
Unknown
No comments
BY COSMAS MLEKANIChama cha Madaktari nchini (MAT) kimesema tiba inayotolewa na Mchungaji Mstaafu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Ambilikile Mwasapila, kwa njia ya kikombe kwa ajili ya kutibu magonjwa sugu, imeleta maafa makubwa kwa wagonjwa.Makamu wa Rais wa MAT, Dk. Primus Saidia,...
04:19
Unknown
WADAU
No comments

Sharing this story may save some life,may touch someone's life in a similar related problem,may bring hope to hopeless situation.Yawezakua si wewe na unaweza kuchukulia just simple.ila yaweza kumgusa mwenzio na kupelekea ku save maisha yake..tumekua tukiamka kila leo na kutembea , unaweza kujiona una...
Tuesday, 23 August 2011
20:22
Unknown
Wassira
No comments

PICHA ZOTE HIZI ZIMEPIGWA KATIKA KIKAO CHA BUNGE KINACHOENDELEA HUKO DODOMA.HIVI WAZIRI MZEMBE KAMA HUYU ANAYEDIRIKI KULALA OVYO OVYO HADHARANI (BUNGENI) AKIWA OFISINI KWAKE SI NDIO ANAJIFUNIKA NA SHUKA KABISA.JE CHANZO CHA KULALA LALA OVYO KAMA TEJA NI UCHOVU NYAKATI ZA USIKU (ATUELEZE ANAKESHA...
Monday, 22 August 2011

Imetumwa na mdau Kato LukaijaWapo watu wanoamini kwamba pakipatikana suluhisho la matatizo ya biashara na uchumi kati ya bara na Zanzibar, basi kero za muungano zitakua zimekwisha. Hawa wanafanana na viongozi wetu wanaoamini kwamba muungano wa kiuchumi wa Afrika mashariki ni atua itakayotosheleza kuleta...
12:00
Unknown
JWTZ
No comments

Taarifa ifuatayo imetumwa na mwananchi aliyejitambulisha kama Msemakweli.Naiwasilisha kama ilivyo: Uvamizi wa wanajeshi dhidi ya wanakijiji Kimbiji ! Polisi kigamboni wamekua BUBU!hawajakubali kupokea malalamiko ya wanakijiji ! nani ? wa kumfunga simba kengele? MALI NA MAKAZI YA WANAKIJIJI...
Sunday, 21 August 2011

AFISA UBALOZI "USTAADH" IDRISA ZAHARANI AKIKARIBISHA WAGENI Add caption Salam,Ubalozi wa Tanzania Hapa London Leo uliwaalika watanzania wote kutoka madhehebu na dini mbalimbali kuja kupata futari ya pamoja walioandaa ikiwa ni ishara njema ya kuonyesha amani,upendo, ukarimu kwa watanzania wote. Vyakula...
21:17
Unknown
Msondo, MUZIKI
No comments

BENDI ya mziki ya msondo ngoma imepata TUZO ya the Best Rhumba Group katika East Africa Music Awards mashindano yariyofanyika Nairobi Kenya na kukusanyika kwa bendi za Afrika Mashariki na bendi ya msondo kuibuka Kidedea katika mashindano hayo akisibitisha ushindi uho meneja wa bendi Saidi KIbiriti alipokuwa...
21:14
Unknown
ILALA, Ngumi
No comments
Bondia YOhana Robart wa kambi ya Ilala akioneshana ufundi wa kutupa masumbwi na mtoto, Zainabu MHamila 'IKOTA' wakati wa mazoezi yanayoendelea katika kambi hiyo juzi.(Picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com )kondoKocha wa mchezo wa ngumi kondo Nassoro (kulia) akimwelekeza mtoto Zainabu Mhamila 'IKOTA'...
Saturday, 20 August 2011
04:53
Unknown
SPORAH SHOW
2 comments

Thank you so much from the bottom of my heart to all my fans. LAST NIGHT THE SPORAH SHOW WON AN AWARDS FOR THE FACE OF 2012 SPECIAL RECOGNITION AWARDS ON WORLD HUMANITARIAN DAY 19TH AUGUST 2011 AT THE ROYAL BOROUGH OF KENSINGTON & CHELSEA. Sporah Sporah in the building....
Subscribe to:
Posts (Atom)