Hizi ni miongoni mwa kazi za wanasanii wetu wa nyumbani ambazo zilinigusa nilipokuwa huko hivi karibuni.Nilichopenda kwenye hii ya kwanza,"Nangoja ageuke" ya MwanaF.A. ft AY, ni mchanganyiko wa midundo na video yenyewe.Ushirikishwaji wa mastaa wetu wa Kibongo umeongeza chachandu pia.
Hizi zilizosalia zilinivutia zaidi katika flavour na beats
Sunday, 28 September 2008
18:36
Unknown
BONGOFLAVA
No comments
Related Posts:
Msanii wa Bongofleva WITNESZ MWAJAGA Akiwakilisha Brooklyn Hip-Hop Festival (Habari na Picha)Brooklyn Hip hop FestivalWes Jackson, President and executive director of Brooklyn Hip hop festival in the middle Witnesz the Fitnes mkewe Ebonie Jackson ambaye yupo kwenye kitengo cha mahesabu ya shughuli kadhaa za mumewe ik… Read More
Bonge la Rap ya Kisiasa (Political Rap): NUSU PEPONI NUSU KUZIMU (Video)Chuck D,mwanzilishi na kiongozi wa lilikouwa kundi maarufu la rap huko Marekani,Public Enemy,aliwahi kusema muziki wa rap ndio CNN ya mtaa.Tangu awali,muziki wa rap umekuwa ukizungumzia masuala mbalimbali yanayoikabbili jamii… Read More
Mapitio (Review) Yasiyo Rasmi ya Video za SIHITAJI MARAFIKI (Fid-Q) na MISS TANZANIA (Solo Thang)Naomba nivamie eneo ambalo ninaweza kujiita 'mgeni' (foreign territoty).Hili ni uchambuzi wa muziki,au kwa usahihi zaidi,uchambuzi wa video za muziki.Nikurejeshe nyuma kidogo.Zamani hizooo,niliwahi 'kuota' kuwa mshiriki wa mu… Read More
Mwana-Bongofleva Aonyesha Njia:Ageukia KilimoMSANII mahiri katika medani ya muziki wa kizazi kipya nchini Abbas Hamisi ‘20 Pacent’ ameamua kujikita kwenye ujasiriamali ambapo sasa amejikita kwenye kilimo huko mkoani Morogoro.Akizungumza na mwandishi wa habari hizi juzi,… Read More
"Mtoto wa Fisadi" ~ Track mpya ya King Kapita (AUDIO) … Read More
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment