Kama nilivyoahidi awali,blogu yako itakuwa ikikuletea mahojiano na Watanzania 'wanaowakilisha' (representing) nchi yetu kwa namna moja au nyingine.Na sasa nafurahi kukujulisha kuwa blogu imekamilisha mahojiano na supastaa big name wa bongoflava.Could you make a guess?Hint: Ni msanii mwenye kipaji cha hali ya juu katika kupangilia verses na lyrics zake,sambamba na uwezo mkubwa wa 'kucheza na maneno' na kwa sasa ni mwana bongofleva mwenye elimu ya kiwango cha juu kabisa. Na hapa chini (video) inakupa hint zkubwa zaidi.
Mahojiano kamili yatawekwa hapa kesho katika versions mbili:Kiingereza na Kiswahili.USIKOSE
Sunday, 11 April 2010
Related Posts:
EXCLUSIVE INTERVIEW NA SUPASTAA WA BONGOFLAVAKama nilivyoahidi awali,blogu yako itakuwa ikikuletea mahojiano na Watanzania 'wanaowakilisha' (representing) nchi yetu kwa namna moja au nyingine.Na sasa nafurahi kukujulisha kuwa blogu imekamilisha mahojiano na supastaa big… Read More
Exclusive Interview na Mzee wa Commercial AYKama nilivyoahidi siku chache zilizopita kuwa blogu yako ingekuletea mahojiano mengine exclusive kutoka kwa mmoja wa Watanzania wanaotuwakilisha vema,leo natimiza ahadi hiyo kwa kuwaletea exclusive interview na msanii mahiri … Read More
Mahojiano Maalum Na MwanaFA (Mwanafalsafa)Kama nilivyoahidi jana,leo nawaletea mahojiano maalum (exclusive interview) na msanii mahiri wa Bongoflava,Hamis Mwinjuma,almaaruf Mwana F.A.Pamoja na mambo mengine,blogu hii ilionelea umuhimu wa kufanya mahojiano na msanii h… Read More
An Exclusive Interview With Tanzania's Top Emcee MwanaFA (English Version)Exclusive Interview With Tanzania's top emcee Mwanafalsafa … Read More
Mahojiano na Mwana FA yachapishwa Tovuti ya Kimataifa ya Hip-HopNimefarijika sana kuona mahojiano niliyofanya na msanii mahiri wa Bongoflava,Hamis Mwinjuma a.k.a Mwana FA,yamechapishwa katika tovuti ya kimataifa ya muziki wa hip-hop,Hip-Hop-Dance.Net.Pamoja na kuwapatia wasomaji wa blogu … Read More
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Nashukuru sana kaka, nasubiria mahojiano hayo kwa hamu kwelikweli.
ReplyDeleteNashukuru sana kaka, nasubiria mahojiano hayo kwa hamu kwelikweli.
ReplyDeleteNashukuru sana kaka, nasubiria mahojiano hayo kwa hamu kwelikweli.
ReplyDelete