Pamoja na kumtetea mwanaye,JK alisema (namnukuu)"...hata kama aliyegombea hakuridhishwa na mazingira ya namna aliyeshinda alivyoshinda, ndiyo ameshapata,hivyo jambo la msingi ni kuacha makundi yaliyokuwepo wakati wa kura za maoni, bali wajielekeze katika kutafuta ushindi wa kishindo huku wakijiandaa kwa kugombea kipindi kingine..."SWALI.Je kama kutoridhishwa huko kunatokana na matumizi ya rushwa?Au kwa vile Awamu ya Nne ilikuwa na huruma kwa mafisadi basi wagombea waliofisadiwa nao waige mfano wa serikali hiyo?Soma habari kamili HAPA.
Friday, 20 August 2010
Related Posts:
Rais Jakaya Kikwete Ametetea Mwanaye (Ridhiwani Kikwete)Pamoja na kumtetea mwanaye,JK alisema (namnukuu)"...hata kama aliyegombea hakuridhishwa na mazingira ya namna aliyeshinda alivyoshinda, ndiyo ameshapata,hivyo jambo la msingi ni kuacha makundi yaliyokuwepo wakati wa kura za m… Read More
Jini Ndani ya Chupa...Likitoka LimetokaNadhani unamfahamu Christina Aguillera,na kama unamfahamu basi ni dhahiri utakuwa unakumbuka 'singo' yake ya kwanza kabisa Genie in a Bottle (Kama huukumbuki basi cheki video hii hapa).Ushaikumbuka?Well,lengo la makala hii si… Read More
Ngoma Inogile: Dkt Slaa,Mtikila Wamtaka Ridhiwani Awahi MahakamaniSakata linalomhusu Ridhiwani Kikwete,mtoto wa Rais Jakaya Kikwete-kwa upande mmoja,na Katibu Mkuu wa Chadema Dkt Willibroad Slaa na Mwenyekiti wa chama cha DP,Mchungaji Christopher Mtikila-kwa upande mwingine,linaanza kupamba… Read More
Ukweli Mgumu au Utani Mbaya? Ridhiwani Kikwete Adai Magari ya Kifahari Anayoendesha ni ya KuazimaMtoto wa Rais Kikwete aukana ubilioneana Betty KangongaMJUMBE wa Baraza Kuu la Umoja wa Vijana (UVCCM), Ridhiwan Kikwete, amekanusha tuhuma zilizoelekezwa kwake juu ya kumiliki mali na mabilioni ya fedha.Ridhiwan alikanusha m… Read More
Utajiri wa Ridhiwani wamweka pabaya JK,Adaiwa kuwa bilionea kwa mgongo wa IkuluMimi ni Rais wenu,na huyu ndiye mwanangu mpendwa ninayependezwa na ufisadi,oops..ujasiriamali wakena Mwandishi wetuRAIS Jakaya Kikwete anakabiliwa na kashfa nzito kutokana na utajiri wa mtoto wake, Ridhiwani. Sasa anatuhumiwa… Read More
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment