Monday, 20 September 2010

Blogu Hii inapenda kuungana na mwanahabari mkongwe,John Bwire, wa jarida la Raia Mwema,katika kipindi hiki kigumu cha msiba wa baba yake mzazi .

Nimepata taarifa hizo kutoka kwa barua pepe aliyonitumia Bwire leo.

Kifo ni kifo,lakini kifo cha mzazi kinagusa mno.Hakuna maneno yanayoweza kuwa mwafaka kabisa kumliwaza mfiwa.Hata hivyo,kuna kauli ya kiroho inayoweza kuleta faraja na matumaini,kwamba SIE TULIMPENDA SANA MAREHEMU LAKINI BWANA MUNGU ALIMPENDA ZAIDI,NA NDIO MAANA AMEAMUA KUMCHUKUA.Ni maneno yanayoweza kuonekana mepesi lakini yana uzito mkubwa.

Pumziko la milele Umpe ee Bwana,na Mwanga wa Milele Umwangazie,Astarehe kwa Amani

Amen

Related Posts:

  • Tangazo la MsibaTunasikitiza kutangaza kifo cha Pr. Joseph Shem Onyango (pichani akiwa na mkewe na wajukuu) Kilichotokea jana mchana Kihonda, Morogoro kutokana na ajali ya barabarani. Mchungaji alikuwa akielekea kwenye kituo cha basi tayari … Read More
  • Tangazo la Msiba Leicester Ndugu, Jamaa, na Marafiki, Watanzania wote;Kwa masikitiko makubwa tunawataarifu ya kwamba, tumepokea habari za msiba wa mwenzetu EDGAR KILEKE (KAKA DICK). Msiba umetokea leo huko Leicester Uingereza. Mare… Read More
  • Taarifa za Msiba mjini Reading, UingerezaTunasikitika kuwatangazia kifo chaMachira  NYITAMBEKilichotokea mchana leo huko  MUSOMA-TANZANIAMazishi yatafanyika huko Kirongwe, Shirati, katika mkoa wa Mara.Marehemu ni baba mzazi wa:Mrs Veronica Dibogo NyitambeM… Read More
  • MSIBA: BLOGA MWANASOSHOLOJIA AFIWA NA MZAZI WAKE Pichani,Mwanasoshojia akimuaga Mzaa chema.BLOGU HII INATOA SALAMU ZA RAMBIRAMBI KUTOKANA NA KIFO CHA MAMA MZAZI WA BLOGA MWANASOSHOLOJIA.HAKUNA MANENO MWAFAKA YANAYOWEZA KUKULIWAZA WEWE BINAFSI NA FAMILIA YENU KWA UJUMLA,LAK… Read More
  • Taarifa ya Msiba: John Bwire wa Raia Mwema Amefiwa na Baba YakeBlogu Hii inapenda kuungana na mwanahabari mkongwe,John Bwire, wa jarida la Raia Mwema,katika kipindi hiki kigumu cha msiba wa baba yake mzazi .Nimepata taarifa hizo kutoka kwa barua pepe aliyonitumia Bwire leo.Kifo ni k… Read More

2 comments:

  1. Pole sana Bwana John Bwire! R.I.P mpendwa marehemu!

    ReplyDelete
  2. Inna Lillahi wainna ilaihi Raajiooun...(IWR) Bwire tupo pamoja nawe katika kipindi hiki kigumu cha majonzi ya kuondokewa na baba mzazi.RABBI Akupe nguvu umuombee maghufira kaburini na akhera...

    ReplyDelete

Categories

Unordered List

Sample Text

Blog Archive

Labels

Follow Us on FaceBook

Popular Posts

Recent Posts

Recent Comments

Recent Premium Themes

Your Links

Flickr

Powered by Blogger.

Blog Archive

Followers

Download

Your Links

Blogger Tricks

Popular Posts

Recent Posts

Text Widget