Saturday, 18 September 2010


Tunasikitiza kutangaza kifo cha Pr. Joseph Shem Onyango (pichani akiwa na mkewe na wajukuu) Kilichotokea jana mchana Kihonda, Morogoro kutokana na ajali ya barabarani. Mchungaji alikuwa akielekea kwenye kituo cha basi tayari kwa safari ya kwenda dar kushiriki katika sabato ya wageni jumamosi tarehe 18.9.10 kwenye kanisa la Tegeta. Marehemu alizaliwa 1936 na amekuwa akililitumika kanisa la waadeventista wasabato kwa zaidi ya miaka 40, Pr. atakumbukwa sana na watu wengi africa mashariki kutokana na huduma zake kwenye kanisa za kaya na familia pamoja na sera za ndoa.

Mazishi yanategemewa kufanyika alhamisi mji wa morogoro.

Asanteni

Frank Eyembe
Urban Pulse Creative

BLOGU HII INATOA SALAMU ZA POLE KWA WAFIWA.BWANA AMETOA BWANA AMETWAA,JINA LAKE LIHIMIDIWE MILELE

Related Posts:

  • Taarifa za Msiba mjini Reading, UingerezaTunasikitika kuwatangazia kifo chaMachira  NYITAMBEKilichotokea mchana leo huko  MUSOMA-TANZANIAMazishi yatafanyika huko Kirongwe, Shirati, katika mkoa wa Mara.Marehemu ni baba mzazi wa:Mrs Veronica Dibogo NyitambeM… Read More
  • Tangazo la MsibaTunasikitiza kutangaza kifo cha Pr. Joseph Shem Onyango (pichani akiwa na mkewe na wajukuu) Kilichotokea jana mchana Kihonda, Morogoro kutokana na ajali ya barabarani. Mchungaji alikuwa akielekea kwenye kituo cha basi tayari … Read More
  • Taarifa ya Msiba: John Bwire wa Raia Mwema Amefiwa na Baba YakeBlogu Hii inapenda kuungana na mwanahabari mkongwe,John Bwire, wa jarida la Raia Mwema,katika kipindi hiki kigumu cha msiba wa baba yake mzazi .Nimepata taarifa hizo kutoka kwa barua pepe aliyonitumia Bwire leo.Kifo ni k… Read More
  • MSIBA: BLOGA MWANASOSHOLOJIA AFIWA NA MZAZI WAKE Pichani,Mwanasoshojia akimuaga Mzaa chema.BLOGU HII INATOA SALAMU ZA RAMBIRAMBI KUTOKANA NA KIFO CHA MAMA MZAZI WA BLOGA MWANASOSHOLOJIA.HAKUNA MANENO MWAFAKA YANAYOWEZA KUKULIWAZA WEWE BINAFSI NA FAMILIA YENU KWA UJUMLA,LAK… Read More
  • Tangazo la Msiba Leicester Ndugu, Jamaa, na Marafiki, Watanzania wote;Kwa masikitiko makubwa tunawataarifu ya kwamba, tumepokea habari za msiba wa mwenzetu EDGAR KILEKE (KAKA DICK). Msiba umetokea leo huko Leicester Uingereza. Mare… Read More

1 comment:

Categories

Unordered List

Sample Text

Blog Archive

Labels

Follow Us on FaceBook

Popular Posts

Recent Posts

Recent Comments

Recent Premium Themes

Your Links

Flickr

Powered by Blogger.

Blog Archive

Followers

Download

Your Links

Blogger Tricks

Popular Posts

Recent Posts

Text Widget