Wednesday, 29 September 2010

UTITIRI WA AHADI ZA KIKWETE NI KAMA UTAMU WA PIPI HIZO ANAZOMPATIA MTOTO HUYO PICHANI.PIPI NI TAMU KADRI INAVYOYEYUKA MDOMONI LAKINI SIO TU HAIDUMU BALI HAIONDOI NJAA.Hebu soma kwanza nukuu hii hapa chini kisha utaelewa kwanini nimeweka kichwa cha habari hicho hapo juuMGOMBEA urais kwa tiketi ya Chama...

CHADEMA: Synovate wahini mahakamani*Slaa asema wanazo nyaraka za utafiti wao.*Adai kuna mbinu za 'kuchakachua' matokeo.Na Tumaini Makene CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimeivaa kampuni utafiti ya Synovate kikisisitiza kuwa kina matokeo ya utafiti uliofanywa na kampuni hiyo ya kupata matokeo...

Sunday, 26 September 2010

Video zote kwa hisani ya CobyNAOMBA MSAMAHA KWENU WAFANYAKAZI WAPENDWA KWA KUWATOA MACHOZI YA UCHUNGU BAADA YA KUANGALIA VIDEO HIZO.LENGO LANGU SIO KUWATIA UCHUNGU BALI KUWAKUMBUSHA JEURI YA JAKAYA KIKWETE KWENU.VILEVILE VIDEO HIZI ZINAWEZA KUSAIDIA KUMPA KIKWETE AIBU YA KUUDANGANYA UMMA KUWA HAJAWAHI...

Saturday, 25 September 2010

Mwaka 2004,jarida maarufu la TIME la nchini Marekani lilimtangaza Rais wa zamani wa nchi hiyo,George W. Bush,kuwa "Mtu wa Mwaka" (Time Person of the Year 2004).Katika mahojiano na jarida hilo,Bush alizungumza mambo mawili ambayo japo sikuwahi kuwa shabiki wake yameendelea kunisaidia katika tafakuri...

Friday, 24 September 2010

(Katuni kwa hisani ya FEDE)Si maneno yangu,bali nimenukuu kutoka gazeti la Mwananchi...Kikwete aliyeonyesha uchovu katika mkutano huo alishuka ghafla jukwaani na kuondoka baada ya kuwatambulisha wagombea ubunge, akiwaacha wananchi wakimsubiri...Hata hivyo, kuteremka ghafla jukwaani kwa Kikwete kulimaliza...

 Dr Shukuru Kawambwa,Minister of Infrastructure Development of Tanzania,begging for votes for his boss,President Jakaya Kikwete.Is this POLITICAL HUMILITY or a PUBLIC INSULT TO the good name of  DOCTORATE OF PHILOSOPHY (PhD)? Shukuru Kawambwa 1995-2005: University of Dar es Salaam Senior...

Thursday, 23 September 2010

You posted the following comment on this blog.I have tried to reply on your blog but it doesn't seem to work.I know my reply will offer you a rare chance of publicity,but,well,there's nothing I could do about that.Perhaps that's all you wanted: cheap publicity.You wrote (I quote):you should tellus about...

Ukichanganya "nyomi" kama hilo la kampeni za Dokta Slaa mjini Moshi na matokeo "yaliyominywa" ya Synovate,ni dhahiri Kikwete na mafisadi wako tumbo joto na sasa wanahangaika namna ya kuchakachua matokeo ya Uchaguzi Mkuu ujao.Washindwe na walegee.HATUDANGANYIKI!Slaa anasa waraka mzito• NI ULE WA SERIKALI...

Nimetundika tangazo la taasisi ya Policy Forum ambalo kimsingi ni kwa maslahi ya kila Mtanzania mzalendo.Sababu zilizopelekea Shirika la Utangazaji la Tanzania kuzuwia kurushwa kwa tangazo hilo ni bayana; hawataki Watanzania wafumbuke macho na kuondoa kikwazo kikuu cha maendeleo ya nchi yetu,yaani Chama...

Who's more hopeless?The Daily News which,upon realising their online opinion poll (on whether Dr Willbroad Slaa would emerge a winner in the coming election) was going contrary to their expectations,decided to withdraw it,or Raia Mwema which quoted the results of the removed polls?YOU DECIDE.Leave Daily...

Wednesday, 22 September 2010

NA HAPA CHINI NI PICHA YA WAZIRI MKUU MIZENGO PINDA AKIPOKEA TUZO YA MILENIA KWA MAFANIKIO HAYO HAPO JUUHAPA CHINI AKIWA NA BALOZI WETU KWENYE UMOJA WA MATAIFA OMBENI SEFUENA KAMA ILIVYOTARAJIWA,HAPO CHINI NI PICHA INAYOONYESHA MAJIGAMBO YA KIKWETE HUKO TWITTER (Kikwete2010)KUNA MZEMBE MMOJA KANITUMIA...

Monday, 20 September 2010

Blogu Hii inapenda kuungana na mwanahabari mkongwe,John Bwire, wa jarida la Raia Mwema,katika kipindi hiki kigumu cha msiba wa baba yake mzazi .Nimepata taarifa hizo kutoka kwa barua pepe aliyonitumia Bwire leo.Kifo ni kifo,lakini kifo cha mzazi kinagusa mno.Hakuna maneno yanayoweza kuwa mwafaka...

Hii ni Kazi ama Unyanyasaji wa watoto..?Kwakweli nimesikitika sana baada ya kuona hii video ya documentary ya Mtanzania aliewaiba watoto walemavu  na kuwapeleka nchini Kenya na kuwafanya omba omba, Anawapeleka asubuhi na mapema sa kumi na Moja na kuwasambaza maeneo mbali mbali...

Last night,I wrote an email to Synovate Tanzania Country Manager,Aggrey Oriwo.I am really grateful to him for responding to my email in which I enquired why their recent survey intentionally avoided disclosing which presidential candidate was leading in the race.In his reply,Oriwo categorically refuted...

Sunday, 19 September 2010

UBISHI TUUU: HUU UTITIRI WA MASHANGINGI SIO UTHIBITISHO WA MAISHA BORA?SASA HIYO NI AWAMU YA KWANZA.AWAMU IJAYO NI BAJAJ KWA WAJAWAZITO NCHI NZIMAMAJI BWEREREMAISHA BORA KWA KILA MTANZANIA YAMEWEZEKANAUSHAHIDI WA MAISHA BORA UNAONEKANA HATA KWA WATOTO WADOGOYOU SEE, TATIZO LA MAJI MIJINI NA VIJIJINI...

Categories

Unordered List

Sample Text

Blog Archive

Labels

Follow Us on FaceBook

Popular Posts

Recent Posts

Recent Comments

Recent Premium Themes

Your Links

Flickr

Powered by Blogger.

Blog Archive

Followers

Download

Your Links

Blogger Tricks

Popular Posts

Recent Posts

Text Widget