Tuesday, 31 August 2010

Mwezi Juni mwaka huu tuzo maarufu ya kimataifa iitwayo Ashden Awards iilitolewa kwa wahusika kadhaa duniani zikiwepo nchi za Afrika Mashariki. Tuzo hiyo hutolewa na shirika maalum lililoundwa na duka maarufu la matajiri wa Uingereza yaani Sainsbury Kutoka katika Ashden Trust Charity ambapo mlezi wake akiwa ni Prince Charles. Lengo lake ni kusaidia kurekebisha na kuboresha mazingira duniani . Tuzo ya mwaka huu ilitolewa kwa watafiti na wabunifu waliotengeneza...

Monday, 30 August 2010

Chama cha Demokrasi na Maendeleo (CHADEMA) kimewasilisha rasmi pingamizi dhidi ya mgombea wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Jakaya Kikwete kwa madai ya kukiuka Sheria ya Gharama za Uchaguzi (iliyosainiwa na Kikwete kama Rais).Imedaiwa kuwa Kikwete amenongeza mishahara ya watumishi wa umma kinyume cha taratibu,na...

Nimekutana na habari hii huko Jamii Forums,nami naiwasilisha kama ilivyo:Dola kuishughulikia CHADEMADAWATI LA HATUDANGANYIKI limepokea taarifa za kuaminika kutoka vyanzo vyake kuwa kuwa mara tu baada ya mkutano wa uzinduzi wa kampeni za CHADEMA, siku ya Jumamosi tarehe 28 Agosti 2010 wakuu wa Idara...

From Lt. Gen. Peter OluFrom: NATIONAL SECURITY ADVISER Add to ContactsTo: olupeterolu@mail.mn OFFICE OF THE NATIONAL SECURITY ADVISERTO THE PRESIDENT FEDERAL REPUBLIC OF NIGERIAGET BACK TO ME AT YOUR EARLIEST CONVENIENCEDear Sir/Madam,I am Lt. Gen. Peter Olu, National Security Adviser to the...

Saturday, 28 August 2010

Bonyeza HAPA kupata up-to-the-minute updates za uzinduzi wa kampeni za Chadema katika viwanja vya Jangwa...

Friday, 27 August 2010

CAUTION:Some videos contains swear...

Rais wa Rwanda Paul Kagame amechaguliwa tena kuongoza nchi hiyo baada ya kushinda kwa asilimia 93 katika uchaguzi mkuu uliofanyika hivi karibuni,lakini kulikuwa na taarifa zilizosambaa kuwa waandishi wa habari na wanasiasa wa vyama vya upinzani wameuawa au kuwekwa jela.Sasa,ripoti iliyovuja (leaked)...

var docstoc_docid="51796830";var docstoc_title="Ilani ya Uchaguzi CHADEMA 2010-2015";var docstoc_urltitle="Ilani ya Uchaguzi CHADEMA 2010-2015";Ilani ya Uchaguzi CHADEMA 2010-2...

Thursday, 26 August 2010

Sheria ni msumeno: Rais Kikwete akisaini kwa mbwembe Sheria ya Gharama za Uchaguzi,ambayo Chadema wanamtuhumu kuikiuka na hivyo wanamwekea pingamizi.Geofrey Nyang'oro na Lilian MazulaSHERIA ni msumeno na sasa imgombea urais wa CCM, Jakaya Kikwete atalazimika kufanya kazi ya ziada isimdhuru baada ya...

Inaelezwa kuwa vita vya mtandao (cyber war) ni tishio kubwa kwa Marekani kama ilivyo ugaidi.Na katika kujipanga vema kupambana na maadui wa nchi hiyo wanauweza kutumia mtandao kufanya mashambuli,Makao Makuu ya "Wizara" ya Ulinzi,Pentagon,imeanzisha mkakati wa kuajiri vijana wadogo wenye kipaji cha hali...

...

Rostam AzizKatika kuelekea uchaguzi mkuu wa mwaka 2005,mfanyabiashara controversial Rostam Aziz alitumia raslimali zake nyingi kuhakikisha mgombea wa nafasi ya urais kwa tiketi ya CCM,Jakaya Kikwete,anashinda kwa gharama yoyote ile.Na kutokana na utajiri mkubwa alionao pamoja na mbinu zake mbalimbali,mchango...

Na Frederick Katulanda, Mwanza na Sadick MtulyLICHA ya sheria na kanuni za Uchaguzi kuzuia matumizi ya magari ya serikali, msafara wa mgombea urais wa CCM Jakaya Kikwete umetumia magari kadhaa ya serikali katika mikoa ya Mwanza, Geita na Kagera.Mbali na magari hayo, wakuu wa wilaya waliokuwa wameshiriki...

Wednesday, 25 August 2010

Hongera nyingi kwako Mzee wa Changamoto Yetu kwa blogu yako kutimiza umri wa miaka miwili.Ama kwa hakika blogu yako ni miongoni mwa sehemu zinazofanya kuweko mtandaoni kuwa ni jambo la muhimu katika maisha yetu ya kila siku.Hekima na filosofia zako zinaamsha tafakuru kubwa,huku ukihakikisha tunamwayamwaya...

Body had multiple stab wounds and was decomposingFlat owned by private company called New Rodina, which means 'motherland' in RussianActing PM Clegg to be briefed on spy's death todayDead man was employed at govt 'listening post'This is the first picture of the murdered British spy who detectives have...

CLICK HERE to watch BBC News clip about Luol's first visit to Southern Sudan (August 25,2010). By Tim Franks BBC NewsLuol Deng is getting drenched. While most sports stars spend their off-season on the beach, Britain's NBA superstar is soaking up a Southern Sudanese wet-season deluge.There is a solemn...

Ratiba Ya Kampeni Chadema ...

Takukuru yakamata mgombea aliyejitoaAdaiwa kuwa alishawishiwa kwa fedhaAwekwa chini ya ulinzi Makao Makuu DarTaasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) Makao Makuu jijini Dar es Salaam, imemkamata na kumhoji aliyekuwa mgombea ubunge kwa tiketi ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema)...

Categories

Unordered List

Sample Text

Blog Archive

Labels

Follow Us on FaceBook

Popular Posts

Recent Posts

Recent Comments

Recent Premium Themes

Your Links

Flickr

Powered by Blogger.

Blog Archive

Followers

Download

Your Links

Blogger Tricks

Popular Posts

Recent Posts

Text Widget