Sunday, 1 May 2011
Breaking news kwenye vyombo mbalimbali vya habari vya kimataifa ni kuhusu kuuawa kwa gaidi wa kimataifa Osama Bin Laden.Rais Barack Obama ametangaza taarifa hizo ambazo zitakuwa ahueni kubwa kwa Wamarekani baada ya kumwinda Osama kwa muongo mzima tangu mashambulizi ya September 11,2001 ambayo inaaminika yalipangwa na Osama.
Taarifa zaidi baadaye
Related Posts:
Ulaya na Marekani Katika Tahadhari ya Mashambulizi ya Kigaidi (PICHA)FranceFranceSwedenGermanyAdd caption… Read More
Breaking News: Osama bin Laden Auawa.Breaking news kwenye vyombo mbalimbali vya habari vya kimataifa ni kuhusu kuuawa kwa gaidi wa kimataifa Osama Bin Laden.Rais Barack Obama ametangaza taarifa hizo ambazo zitakuwa ahueni kubwa kwa Wamarekani baada ya kumwinda O… Read More
ASKARI POLISI ADAI FIDIA BAADA YA BOSI WAKE KUMFANANISHA NA OSAMA Kontebo wa Polisi,Tariq Dost (pichani juu) amefungua mashtaka dhidi ya mwajiri wake na Mamlaka ya Polisi ya eneo la Midlands,hapa Uingereza, kutokana na matamshi ya mwaka 2007 kwamba anafanana na gaidi nambari wani Osama bin… Read More
OSAMA BIN LADEN'S "NEW FACE"The US Government has released a new age-enhanced photograph of al-Qaeda leader Osama bin Laden as he may look now without his trademark long beard...MORE… Read More
Marekani na Unyanyasaji wa WaislamuTangu tukio la mashambulizi ya kigaidi ya September 11 mwaka 2001,Marekani inaelekea kupata sababu nyingine ya kuhalalisha ubabe wake.Miongoni mwa wahanga wakubwa wa aftermath ya mashambulizi hayo ni Waislamu,ndani na nje ya … Read More
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment