Tuesday, 3 May 2011

Osama (kushoto) na Zawahiri
Ayman al-Zawahiri,daktari mwenye umri wa miaka 59 aliyezaliwa Misri,anatarajia kuwa kiongozi wa kundi la kigaidi la Al-Qaeda baada ya kuuawa kwa Osama Bin Laden.

Gazeti la Wall Street Journal la Marekani linamwelezea Zawahiri kuwa ni mwenye msimamo mkali kuliko Osama,japo ana mapungufu wa mvuto (charisma) na utajiri wa Osama.

Taarifa za kwenye kompyuta Zililopatikana katika eneo alilokuwa akiishi Osama,kama zinavyoelezwa HAPA na mtandao wa Politico,zinaweza kuwasaidia mashushushu wa Marekani kufahamu mengi zaidi kuhusu Al-Qaeda na kupelekea uwezekano wa kufahamu alipo Zawahiri.Hadi itapokuwa hivyo,gaidi huyo aliyekuwa namba 2 (Osama akiwa namba 1) katika kundi la Al-Qaeda anaendela kubaki kwenye orodha ya Shirika la Upelelezi la Marekani (FBI) ya watu wanaosakwa kwa udi na uvumba,na tishio kubwa.

Shirika la Ujasusi la Marekani (CIA) limeshawahi kukaribia kumkamata Zawahiri.Huku akiwa mafichoni,gaidi huyo alitoa mkanda wa video kuhusu vuguvugu la mageuzi nchini Misri mwanzoni mwaka huu,akisema demokrasia inawezekana tu katika ukafiri.Pia alimtukana Rais Obama akitumia neno la ki-baguzi wa rangi (racial epithet).


CHANZO: Huffington Post

Related Posts:

  • Warithi Watarajiwa wa Osama bin Laden (PICHA na MAELEZO)Baada ya kifo cha Osama bin Laden,nani anaweza kuchukua nafasi yake?Tuangalie historia na tabia za warithi watarajiwa wa uongozi wa kundi la kigaidi la Al-QaedaAFP-Getty ImagesAyman al-ZawahiriCheo: "Naibu" wa Osama Wasifu: D… Read More
  • Maelezo na Video: Al-Qaeda Yapata Mrithi wa Osama?Osama (kushoto) na ZawahiriAyman al-Zawahiri,daktari mwenye umri wa miaka 59 aliyezaliwa Misri,anatarajia kuwa kiongozi wa kundi la kigaidi la Al-Qaeda baada ya kuuawa kwa Osama Bin Laden.Gazeti la Wall Street Journal la Mare… Read More
  • "BLUNDER" TRIGGERS ANTI-TERROR RAIDS Twelve men have been arrested during a major anti-terror operation which was triggered by a top police officer's security blunder. Skip related contentEight addresses in Liverpool, Lancashire and Greater Manchester were raid… Read More
  • BREAKING NEWS:BENAZIR BHUTTO ASSASSINATEDMwanasiasa mahiri na Waziri Mkuu wa zamani wa Pakistani,Benazir Bhutto ameuawa baada ya kupigwa risasi mjini Rawalpindi,karibu na mji mkuu wa nchi hiyo Islamabad.Mwanamama huyo ambaye alirejea nchini humo hivi karibuni akito… Read More

0 comments:

Post a Comment

Categories

Unordered List

Sample Text

Blog Archive

Labels

Follow Us on FaceBook

Popular Posts

Recent Posts

Recent Comments

Recent Premium Themes

Your Links

Flickr

Powered by Blogger.

Blog Archive

Followers

Download

Your Links

Blogger Tricks

Popular Posts

Recent Posts

Text Widget