Dunia haina dogo.Kuna wambeya wanaodai eti huyo "nzi" alikuwa ni skadi lililotumwa na Dick Cheney kwa Obama.Kuna wengine wanadai huyo wala hakuwa "nzi" bali roboti lilotengenezwa na majasusi wa Kimarekani kupeleka ujumbe kwa Kim Jong Ill na mikwara yake ya nyuklia.Wapo wanaomhusisha "nzi" huyo na uchaguzi wa Irani..... Alimradi burudani!
ELEKEZO: Neno "nzi" limetumika kama tafsiri isiyo rasmi ya "fly" (BAKITA mko wapi?)
Tuesday, 23 June 2009
Related Posts:
OH NO!WE KNOW BRITISH WEATHER IS SO UNPREDICTABLE,BUT WEATHERMAPS...!?… Read More
OBAMA AMPA KIBANO "NZI" (VIDEO)Dunia haina dogo.Kuna wambeya wanaodai eti huyo "nzi" alikuwa ni skadi lililotumwa na Dick Cheney kwa Obama.Kuna wengine wanadai huyo wala hakuwa "nzi" bali roboti lilotengenezwa na majasusi wa Kimarekani kupeleka ujumbe kwa … Read More
"BRITAIN'S OLDEST NEIGHBOUR FROM HELL" FACES EVICTION From The Daily Mail… Read More
"STAREHE" ZA WAINGEREZA USIKU Pombe bwana!Huyu si "shoga",ni mwanaume ila tu kinywaji kimemkolea kaamua atinge gauni.Na sijui hiyo pozi kajifunzia wapi! Huyu "Beyonce Mweupe" anaonyesha ufundi wa kunengua. Hao si watoto wa shule,na huo "upole" ni sehemu … Read More
TEH TEH TEH...HII IMENIVUNJA MBAVUNIMEKUTANA NA BANDIKO HILI MAHALA FLANI.TABIA SUGU ZA WANACHUO 1.Hupenda kwenda baa na kumbi za starehe kuliko Lecture na Semina.2.Hushinda room kuliko Library.3.Hufahamu mitindo ya mavazi kuliko Module.4.Huogopa CARRY,SUP na… Read More
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment